Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,313
- 12,123
Hiki kitabu kimeangalia maeneo yote duniani ambayo Utawala wa Muingereza uliweza vamia na kupatawala au kuweka majeshi yake na katika tafiti yake imeoneka kati ya nchi 200 zilizopo duniani ni nchi 22 pekee kati ambazo utawala wa muingereza hakuweza zitawala!, hii ni sawa na kusema Muingereza aliweza tawala 90% ya dunia kwa wakati wake!.
Nchi 22 zilizopona mabavu ya Muingereza ni:
- Andorra
- Belarus
- Bolivia
- Burundi
- Central African Republic
- Chad
- Congo, Republic of
- Guatemala
- Ivory Coast
- Kyrgyzstan
- Liechtenstein
- Luxembourg
- Mali
- Marshall Islands
- Monaco
- Mongolia
- Paraguay
- Sao Tome and Principe
- Sweden
- Tajikistan
- Uzbekistan
- Vatican City