Amani 2015
Member
- Dec 28, 2014
- 82
- 14
....Millango iliyotengenezwa na Mbao aina ya Mininga ambayo haina kovu wala doa inauzwa... Bei yake ni 350,000 Ipo hamsini(50).. Urefu ni Cm 220 na Upana ni Cm 90. Ni mizuri sana kutokana na finishing yake ni ya machine
Kwa mawasiliano zaidi unaweza kupiga number 0713 590607.
Ipo Dar es salaam.. Karibuni Wadau