INAUZWA Milango ya Mbao na Frame kwa Mbao za Mninga, Mkongo, Mbanda Kwa bei rahisi sana

Tunachukua order za kutengeneza Milango ya Mbao,Imara na Misafi toka Urambo Tabora. Mbao Maarufu za Mninga ,Mkongo na Mbanda. Inapatikana.

Kwa order kuanzia milango 5 na kuEndelea. Karibuni Kwa order na mawasiliano zaidi.

Huo ambao haujawa polished Tsh. 300,000. Pure Mninga. Ule wenye vibox vidogo vidogo Tsh. 350,000

View attachment 1870564

View attachment 1870565

View attachment 1870566

View attachment 1870573
Sasa mkuu utapimaje SASA. Maana wengine tunajengea Dar huku
 
Sijui kwanini watanzania tunapenda sana ficha hizi bei za bidhaa...imagine amazoni au alibaba wanakwambia ukiipenda hii Tv njoo inbox...ni moja ya tabia za kitapeli..samahan kuchafua wall yako
Soma vizur hakuna halipotaja njoo inbox
 
Mi nyumba yangu nilango ya ndani nlitumia mba nyeupe gharama ya mlango tsh 80,000 tu pamoja na fundi, kwa laki 3.5 napata minne vyumba vyote vya kull
 
fundi nae ana moyo ujue. Anaweza akafanya maksudi vipimo vya uongo. Kwan ye hataki tendaaa. .....Natalia

Kwanza mko wapi
Mkuu. Kazi zangu nasimamia mwenyewe ndo maana kwa sasa nipo Urambo Tabora. Kusimamia kazi halafu ndo nasafirisha Dar,Dodoma,Mwanza
 
Back
Top Bottom