lazima iwe na hii 'peepholes
kwa ajili ya ulinzi
View attachment 1151930
View attachment 1151932
na chain
View attachment 1151943
huku uswailini kwetu ukiweka mlango wa stail hii utaitwa Mchoyo bureeeeeeeee
Duuh 1m watamudu wachache maana wengine bajet ya mlango haizidi 200kBongoland vnapatikana au ndo bei ileile 1M na kuendelea
Daa! kadude kenyew unakuta ata lak hakafik...ila kisa kanatumika sana USA bc kwetu kanapanda dauDuuh 1m watamudu wachache maana wengine bajet ya mlango haizidi 200k
Ndo shida hapo unaambiwa unaoewa na fundi wa kukifunga!Daa! kadude kenyew unakuta ata lak hakafik...ila kisa kanatumika sana USA bc kwetu kanapanda dau
kwel bongo nyosoNdo shida hapo unaambiwa unaoewa na fundi wa kukifunga!