FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,059
- 40,723
Kioindi anaongea juu ya ujazaji maji alikuwa waziri, hiyo tatehe ya ujazaji maji ilipofika waziri alikuwa ni Makamba, hivyo nitamuulizaje mtu ambae hakuwa wziri tarehe ya ujazaji maji?Kama hakuwa Waziri mbona alikuwa anaropoka mambo ambayo hayapo?
Vipi mods wamekusaidia lile ombi lako? 😁😁