MILAN yapigana,YAFUZU...

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,135
17,802
Mabingwa mara saba wa vilabu Barani Ulaya,AC Milan jana walipambana kiume ugenini Uswis na kushinda mabao 3-1 dhidi ya Anderlech. Milan ilihitaji ushindi ili isonge mbele kwa hatua ya mtoano ya 16 bora. Mabao ya Milan yalipachikwa na Stephan El Shaarawy,Alexis Mexes na Pato. Milan inaungana na Malaga kufuzu kwa hatua hiyo kutoka kundi C.

Wapi Gomba? Njoo tufurahie mnazi wangu...
 
klabu yenye mafanikio zaidi ulimwenguni yaani AC Milan au Rosonelli au Diavolo hapo jana wameweza kutuma salam kwa mahasidi waliokuwa hawaishi kutwa kucha kutupiga vijembe ati Milan tumechoka...

Sasa limewashuka na wameingia chini ya meza...
Ikicheza kama vile ni mazoezi klabu ya Milan ilitawala soka hilo kwa dakika zoote na kufanya makocha wa timu kubwa barani ulaya kuanza kujamba jamba kwa hofu.
 
klabu yenye mafanikio zaidi ulimwenguni yaani AC Milan au Rosonelli au Diavolo hapo jana wameweza kutuma salam kwa mahasidi waliokuwa hawaishi kutwa kucha kutupiga vijembe ati Milan tumechoka...

Sasa limewashuka na wameingia chini ya meza...
Ikicheza kama vile ni mazoezi klabu ya Milan ilitawala soka hilo kwa dakika zoote na kufanya makocha wa timu kubwa barani ulaya kuanza kujamba jamba kwa hofu.
AC Milan sio kama hizi clubs za kipofu kaona mwezi. Ubingwa mara moja
 
acmilan-legendaris.gif
 
[h=1]Szczesny targets Euro crown[/h]Wojciech Szczesny sees no reason why Arsenal cannot land the UEFA Champions League crown this season.
Last Updated: 22/11/12 at 13:25 Post Comment
skybet-logo.gif
Champions League Winner 12/13 Win Outright: ArsenalHuyu bwana mdogo anadai eti Arsenal watachukuaWojciech Szczesny: Believes Arsenal can conquer the continent

Wojciech Szczesny: Believes Arsenal can conquer the continent




The Gunners have yet to get their hands on the most illustrious piece of silverware in European football's trophy cabinet, with a final defeat to Barcelona in 2006 as close as they have come.


Huyu bwana mdogo anadai Arsenal watabeba UEFA champions leage this year!
 
[h=1]Szczesny targets Euro crown[/h]Wojciech Szczesny sees no reason why Arsenal cannot land the UEFA Champions League crown this season.
Last Updated: 22/11/12 at 13:25 Post Comment
skybet-logo.gif
Champions League Winner 12/13 Win Outright: ArsenalHuyu bwana mdogo anadai eti Arsenal watachukuaWojciech Szczesny: Believes Arsenal can conquer the continent

Wojciech Szczesny: Believes Arsenal can conquer the continent




The Gunners have yet to get their hands on the most illustrious piece of silverware in European football's trophy cabinet, with a final defeat to Barcelona in 2006 as close as they have come.


Huyu bwana mdogo anadai Arsenal watabeba UEFA champions leage this year!


Ana wazimu huyu ushuzi...
Anafikiri kila timu ni rukhsa kunyanyua ile ndoo eeh?
lile kombe linanyanyuliwa na wachezaji waliokamilika, sio kajamba nani kama yeye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom