Si kasikiliza mkuu, tungemziba maskio hapo ingekuwa ni hatari ila kuzungumza ni mambo ya kuokoa mdaMnapomfungua ktk stage hiyo ya ndio au hapana .... mtakuwa mmemshirikisha kivp?
Ila hiki ni cha watu watatu sio cha familia
Naona washkaji 2 na maza 1Fafanua kidogo mkuu why sio cha familia?
Ooh sawa sawaYaweza kuwa ni familia ya mtu na mkewe na labda njemba nyingine hapo ni ndg wa mume ....
Women's position in decision making? Roles of women in society? And then women right??Eeh ndio inavotakiwa ujue hao huwa wanaongea sana kikao kitakuwa kirefu bila sababu
Ikifika stage ya ndiyo au hapana ndio mna mfungua
Naona washkaji 2 na maza 1
AaahWomen's position in decision making? Roles of women in society? And then women right??