ItsMi
Member
- Sep 13, 2021
- 66
- 31
Katika jamii nyingi vikwazo vingi kwa wasichana na wanawake vinaanzia kwenye mila na tamaduni zisizo na manufaa kwa jamii isipokuwa ukandamizaji tu kwa hasa kwa hii jinsia ya kike ambapo ukienda baadhi ya jamii fulani ni kwamba ili mwanamke aojione anapendwa ni lazima japo apigwe na mume wake bila ya kosa lolote.
Sasa ukiangalia kwa umakini utaona ya kwamba hizi mila na desturi zinahamasisha vitendo vya unyanyasaji na ukatili chungu mzima jambo lisilo jema kwa wanawake wote. Na mengine ambayo mila na desturi zetu inatakiwa kuyatupilia mbali ni kama yafwatayo
1.kushinikizwa kufunga Ndoa za utotoni
2.Kufanyiwa vitendo vya ukatili wa kijinsia
3.Ukeketaji kwa wanawake
4.Ukosefu wa haki zake yeye kama mwanamke
5.wasichana Kukosa elimu
6.ujando na unyago
Hivyo hatua zichukuliwe Elimu zitolewe kwa jamii Kwa kuwa hayo ndo Mambo yanayomkandamiza Mwanamke katika jamii zetu
Asante.
Sasa ukiangalia kwa umakini utaona ya kwamba hizi mila na desturi zinahamasisha vitendo vya unyanyasaji na ukatili chungu mzima jambo lisilo jema kwa wanawake wote. Na mengine ambayo mila na desturi zetu inatakiwa kuyatupilia mbali ni kama yafwatayo
1.kushinikizwa kufunga Ndoa za utotoni
2.Kufanyiwa vitendo vya ukatili wa kijinsia
3.Ukeketaji kwa wanawake
4.Ukosefu wa haki zake yeye kama mwanamke
5.wasichana Kukosa elimu
6.ujando na unyago
Hivyo hatua zichukuliwe Elimu zitolewe kwa jamii Kwa kuwa hayo ndo Mambo yanayomkandamiza Mwanamke katika jamii zetu
Asante.