Mil.15 inatosha kujenga nyumba ya vyumba 4 Dodoma?

Naam...nyumba zetu hizi za ukifika renta unapaua...
Ooops kwa hiyo ikiwa nyumba moja kubwa ambayo itakuwa na labda nyumba ndogo ndani zinazojitegemea, zikawa (hizo ndogo) zinapangishwa hazistahili kuitwa Apartments?
Usinicheke lakini Watu8 :D :D
 
Ooops kwa hiyo ikiwa nyumba moja kubwa ambayo itakuwa na labda nyumba ndogo ndani zinazojitegemea, zikawa (hizo ndogo) zinapangishwa hazistahili kuitwa Apartments?
Usinicheke lakini Watu8 :D :D

Yaani mkuu ukishataja tu apartment, tayari umeshamaanisha nyumba iliyopo ndani ya jengo lenye vinasaba vya kikwangua anga "ghorofa"

Apartment buildings are multi-story buildings where three or more residences are contained within one structure. Such a building may be called an apartment building, apartment complex, flat complex, block of flats, tower block, high-rise
 
Yaani mkuu ukishataja tu apartment, tayari umeshamaanisha nyumba iliyopo ndani ya jengo lenye vinasaba vya kikwangua anga "ghorofa"

Apartment buildings are multi-story buildings where three or more residences are contained within one structure. Such a building may be called an apartment building, apartment complex, flat complex, block of flats, tower block, high-rise
Haki ya nani, ndiyo nimejua leo 🤣 🤣 🙌
 
Hivi kwa nini wabongo huwa tunaita nyumba za chini apartments?
Apartments ni nyumba ya kujitegemea au haujaona neno ' apart' hapo?!

So iwe ghorofani au chini, ikiwa ni vinyumba vinajitegemea maji,jiko,space,choo, katika same compound inaitwa apartment.
 
Ooops kwa hiyo ikiwa nyumba moja kubwa ambayo itakuwa na labda nyumba ndogo ndani zinazojitegemea, zikawa (hizo ndogo) zinapangishwa hazistahili kuitwa Apartments?
Usinicheke lakini Watu8 :D :D
Apartments ni kujitegemea
 
Apartments ni nyumba ya kujitegemea au haujaona neno ' apart' hapo?!

So iwe ghorofani au chini, ikiwa ni vinyumba vinajitegemea maji,jiko,space,choo, katika same compound inaitwa apartment.

Sawa
 
Wandugu,

Nimeamua kujenga kajumba ka kupangisha watumishi wa serikali hao wanaohamia Dodoma, kiwanja kipo, eneo flat, na mkononi ninazo mil.15, je? kwa ujenzi wa nyumba Dodoma naweza kuifikisha katika level gani? wataalamu naomba mchanganuo tafadhali.

Asante.
Labda kama ni hizi mnaita za uwani,self moja,sebule,chumba na jiko ..vijumba 2 unaweza jikongoja kidogo
 
Cjapata kuona serikali la kipumbafu hili. Simenti inatengenezwa hapa, nondo hapa, bati hapa, misumali hapa, mbao hapa, masquare pipe n.k hapa, wanashindwa nn kupunguza!!!!!!!
Soko ndio linapanga bei sio serikali,hamia nchi ambayo serikali inapunguza bei.

Wakulima saizi wanalia mbolea imefika laki hapo shida sio serikali bali demand vs production ,Ili serikali iwasaidie ifute kodi zote na iweke ruzuku sasa pesa za kufanya hivi zinatoka wapi?
 
Vyumba viwili inatosha mujarab kabisa na finishing ya kueleweka, ukilazimisha sana vyumba vitatu ila kuna quality itapungua. Vyumba vinne huwezi kujenga kwa 15M kaka
 
Soko ndio linapanga bei sio serikali,hamia nchi ambayo serikali inapunguza bei.

Wakulima saizi wanalia mbolea imefika laki hapo shida sio serikali bali demand vs production ,Ili serikali iwasaidie ifute kodi zote na iweke ruzuku sasa pesa za kufanya hivi zinatoka wapi?

Sasa mkuu, bila kukemewa na serikali nani wa kuwakemea hawa wafanyabiashara!!! Wanapandisha bei serikali iko kimya, inakula kodi zao huku wananchi tunaumia.
 
Jenga tu kama umeamua, lakini kwa sasa dodoma nyumba ni nyingi sana, hivyo ili ipate mteja kirahisi ni lazima kiwanja chako kiwe location fulani fulani.

NB: Watumishi wa level fulani fulani waliohamia Dodoma 2019-2020 wameshajenga na kuhamia kwenye nyumba zao hivyo wameziachia nyumba walizozipanga.

Kitu cha kufurahisha ni kwamba bei ya nyumba itachelewa sana kushuka Dodoma.
Itachelewa kushuka au kupanda?,embu iweke vizur hapa sababu Dom naona sio bei ghali
 
Itachelewa kushuka au kupanda?,embu iweke vizur hapa sababu Dom naona sio bei ghali
Sio bei ghali ukifananisha na wapi? Isijekuwa unafananisha na Mbezi/mbweni etc. Ili tupate cha kujadili inatakiwa tufahamu bei za nyumba dodoma kabla ya serikali kuhamia na sasa. Zamani bei zilikuwa sawa na bure. kwa kifupi tu zamani nyumba zilikuwa empty nyingi hata wa kukaa walikuwa hamna.
 
Wandugu,

Nimeamua kujenga kajumba ka kupangisha watumishi wa serikali hao wanaohamia Dodoma, kiwanja kipo, eneo flat, na mkononi ninazo mil.15, je? kwa ujenzi wa nyumba Dodoma naweza kuifikisha katika level gani? wataalamu naomba mchanganuo tafadhali.

Asante.

4FEEDC5D-649B-484C-9AA3-EB3F87F8C904.jpg

Kwa 15m, utaishia kujenga nyumba ya vyumba viwili vya kulala(kimoja kikiwa self), public toilet jiko na sebule.. tena nyumba ya slope/hidden roof.. utajenga msingi, boma na kuezeka.. 15m yako itaishia hapo mkuu..

Finishing itabidi uitengee budget nyingine
 
Wandugu,

Nimeamua kujenga kajumba ka kupangisha watumishi wa serikali hao wanaohamia Dodoma, kiwanja kipo, eneo flat, na mkononi ninazo mil.15, je? kwa ujenzi wa nyumba Dodoma naweza kuifikisha katika level gani? wataalamu naomba mchanganuo tafadhali.

Asante.
Inakamilika
 
Tembea nchi zingine ulizia simenti, nondo, bati n.k kama zitawiana na hapa kwe2.
mbona kuna kipindi fulani miaka kama 6 nyuma,cement kutokea Pakistan ilikuwa bei chini na bora kuriko ya hapakwetu,ama ili nalo umesahau
 
mbona kuna kipindi fulani miaka kama 6 nyuma,cement kutokea Pakistan ilikuwa bei chini na bora kuriko ya hapakwetu,ama ili nalo umesahau

Ndiyo kusudio langu mkuu. Hapa cement wanauza gali sana ukiringanisha na other countries.
 
Hapo ongeza million 5 iwe 20 kamili
Kama room 3/2 samba na vtu muhm.
Makadirio ni haya

+Fundi wa chin hadi coz 3 za juu (kujenga) atalamba tshs M. 1.5+

+Matofali 2500/ Tshs M2.5.

+Mabat yako 90. Mil 3.5

+Cement mifuko 120. M. 1.8

+MCHANGA M³ 20 .TSHS 350,000/-

+KOKOTO M³ 10 . TSHS 500,000/-

+FUNDI WA KUPAUA NA BANDARING TSHS M2

+PLASTA NA FINISH LAK 7(fundi)

+DIRISHA ZA GRILL ZIWE 8 JUMLA TSHS 640,000/-


+DIRISH ZA ALLUMINIUM 8 TSHS M2NA 80, ELFU
+ FENI 3 TSHS 200,00/-

Hadi hapa inasoma tshs 15,570,000/- TUENDELEE

+ELECTRIC INSTALLATION TSHS 850,000) PAMOJA NA FUNDI

+Gypsum na white cement weka mifuko 5 yote Tshs 250,000/

+Gypsum board Tshs 500,000/-

+Pvc celling Tshs 150,000/-

+Tailisi box 12 tshs 300,000/-

+Milango 5 tshs M1.5

+Mbele na nyuma weka Geti lak 6

+Nondo za linta na nguzo 30, lak 8

JUMLA NI TSHS 20,520,000/-

Anza na bajet ya Million 20 ibane vzr utatoboa ila kumi na 15 jenga chumba sebule chumba sebule milango nje
 
Back
Top Bottom