Mikutano ya Siasa Ingekuwa Huru, Rais Magufuli Angekuwa Hoi Kisiasa

sidhani kama hii ni excuse bana. there're several ways of skinning a cat.....

kitu gani kinawafanya washindwe kutumia social media (youtube, facebook, whatsapp, instagram, twitter, etc)? wakitoa nondo zao kupitia means hizo magazeti yata-pick na wananchi watakutana nazo kwenye magazeti.

au, wameshindwa hata kuitisha fortnightly media conferences?

au, wameshindwa hata ku-capitalize on ruksa waliyopewa wabunge wao ya mikutano majimboni?

ama, hata kutoa matamko ya uamsho kupitia vikao vya ndani ambavyo tunajua vimeruhusiwa?

last but not least...kwa nini wasianzishe propaganda machinery kama radio au tv? why not???

disgusted!
Mkuu unazungumzia you tube na Facebook kwa siasa za watanzania? Bado sana. Hata hiyo mikutano ya Wabunge ambao hawazidi 20% ni Shida kwanza huko waliko ma RC na DC wako midomo wazi kama mamba kuwadhibiti
 
sidhani kama hii ni excuse bana. there're several ways of skinning a cat.....

kitu gani kinawafanya washindwe kutumia social media (youtube, facebook, whatsapp, instagram, twitter, etc)? wakitoa nondo zao kupitia means hizo magazeti yata-pick na wananchi watakutana nazo kwenye magazeti.

au, wameshindwa hata kuitisha fortnightly media conferences?

au, wameshindwa hata ku-capitalize on ruksa waliyopewa wabunge wao ya mikutano majimboni?

ama, hata kutoa matamko ya uamsho kupitia vikao vya ndani ambavyo tunajua vimeruhusiwa?

last but not least...kwa nini wasianzishe propaganda machinery kama radio au tv? why not???

disgusted!
Unafurahisha wewe mwenye kipato cha angalau million kwa mwezi huwezi nunua gazeti hata kwa wiki mara 2 huyo mwananchi anayeishi madongo kinama mwenye kipato cha laki moja kwa mwezi ndio ata e eza kununua gazeti
 
Ujinga wa Kiafrika tu watu wanataka bla bla kila siku. Mbona hatusikii Hilary Clinton saa hizi anafanya mikutano ya hadhara kujenga Democratic Party?? Kanyagia tu tutazoea.
 
sidhani kama hii ni excuse bana. there're several ways of skinning a cat.....

kitu gani kinawafanya washindwe kutumia social media (youtube, facebook, whatsapp, instagram, twitter, etc)? wakitoa nondo zao kupitia means hizo magazeti yata-pick na wananchi watakutana nazo kwenye magazeti.

au, wameshindwa hata kuitisha fortnightly media conferences?

au, wameshindwa hata ku-capitalize on ruksa waliyopewa wabunge wao ya mikutano majimboni?

ama, hata kutoa matamko ya uamsho kupitia vikao vya ndani ambavyo tunajua vimeruhusiwa?

last but not least...kwa nini wasianzishe propaganda machinery kama radio au tv? why not???

disgusted!
Unaifahamu cybercrime act,2015
 
Mkuu ukweli ni kuwa Lowassa tulimpigania kwenye kampeni kwa sababu ya chama ila kwa 2020 ni lazima Chadema iandae mtu anayeonekana kweli anaweza siasa na siyo kurudia ya 2015.. Nashangaa kuona eti mwezi mzima, miezi inaisha katibu mkuu wa chama kama Chadema hasikiki kwenye media! Hiyo ni aibu kubwa na hasa ukiona mambo yanayoendelea nchini!
Mkuu naungana nawe katika hili. 2020 ni zama za mgombea kuwa mpambanaji wa kweli kweli yaani hata mkifika mahali mumechoka na mchakamchaka yeye bado yupo imara, anajua nini anazungumza katika kila sekta, sio mwoga kwani ukija kistarabu ni mstaarabu lakini ukileta mbwai basi kwake na iwe mbwai. Huyo tunatakiwa tumtengeneze mapema sana.
Kuhusu media, nadhani Mashinji tumsamehe kwani sasa hivi ni tofauti na enzi za Slaa. Uhuru haupo kabisa na unaweza kuita press na kinachotangazwa unaona ni hasara tuu.
 
Unafurahisha wewe mwenye kipato cha angalau million kwa mwezi huwezi nunua gazeti hata kwa wiki mara 2 huyo mwananchi anayeishi madongo kinama mwenye kipato cha laki moja kwa mwezi ndio ata e eza kununua gazeti
nadhani umedandia train vibaya. nisome tena kabla hujadondoka, chief.
 
..ikiwa ata deliver on his campaign promises atakuwa salama.

..lakini asipo deliver hizi kauli zake zenye ukakasi zitamletea matatizo makubwa kwenye campaign za 2020.

..ila ukawa wasifanye makosa waliyofanya 2015. Lowassa was not inspiring at all. Yaani ilikuwa inatia huruma.

Cc MTAZAMO
Mkuu kwa katiba ya nchi yetu 2020 lazima aingie muhula wa pili hata msipompa kura
 
Ni mtu gani alieweka record ya kupata kura nyingi alipogombea kupitia upinzani?

..watu walikuwa wanapigia kura upinzani na siyo Lowassa.

..2020 tunataka mtu anayeweza kulishambulia jukwaa na kupiga kampeni za uraisi na ubunge kwa ukawa.

..Magufuli akiwa na dola nyuma yake hawezi kushindwa na mgombea " bubu" kama Lowassa.
 
Tuwe wakweli Mungu anatuona.Mikutano imeruhusiwa lakini Mbunge afanye mkutano jimboni kwake.Wabunge wa upinzani wangapi wametumia fursa hii?Tuache kuongea uongo

Mm nilidhani na naamini Kukishinda chama tawala ni lazima watatue kero za wananchi na kuisimamia serikali ipasavyo ktk majimbo yao
Inamaana Act wafanye mikutano kigoma peke yake?Vyama ambavyo havina wabunge ndio marufuku kufanya mikutano?Katiba imeruhusu watu kufanya mikutano,iweje wasio na wabunge wanyimwe haki hiyo?
 
Kila alifanyalo au kusema lingekuwa na majibu kisiasa na ni majukwaani kila mtu anasikia.

Hivi sasa wanasiasa wa upinzani hawana pa kuzungumzia lakini ni kama vile kauli za Mhe Rais, matendo yake na hali halisi ya maisha na kiuchumi yanajichanganya na kujijibu na nyota yake kufanya ififie.

Jee wanasiasa hao nayo wangekuwa huru kujibu kama katiba inavyo waruhusu hali ya bwana mkubwa kisiasa ingekuwaje?

Au alilijua hilo ndio maana kaamua kuweka zuio?
hata bila ya kuwepo hali si shwari
 
Mkuu unazungumzia you tube na Facebook kwa siasa za watanzania? Bado sana. Hata hiyo mikutano ya Wabunge ambao hawazidi 20% ni Shida kwanza huko waliko ma RC na DC wako midomo wazi kama mamba kuwadhibiti

mkuu, kutumia social media kwa siasa za Watanzania kuna ugumu gani? kikubwa ni kuhakikisha message inakuwa picked na vyombo vilivyo karibu na wananchi kama magazeti, radio, tv, nk. these people just need to think outside the box bana!

kama wabunge wanawaogopa RCs na DCs kuitisha mikutano then sidhani kama wabunge hao wanatufaa. wanachotakiwa kufanya is to keep those RCs & DCs on their toes ambao itafika mahala watafanya vitu stupid ambavyo vitawapa credit upinzani. wabunge wa upinzani seriously need to be creative!

ndiyo maana RC wa Arusha hivi juzi alitaka ku-score political mileage kwa ku-capitalise on the vacuum created by a quiet and an ineffective opposition.

tukiendelea kunung'unika hivi badala ya kuwa proactive, upinzani kwishnei!
 
Tusiwe wavivu kufikiri.Kama chama kina mtandao kifanye mikutano huko kilikofika na kitakakofika.JAmbo LA kuzingatia ni aina ya siasa inayofanyika na mkazo wa RAIA kuijenga nchi kwa kufanya kazi
 
mkuu, kutumia social media kwa siasa za Watanzania kuna ugumu gani? kikubwa ni kuhakikisha message inakuwa picked na vyombo vilivyo karibu na wananchi kama magazeti, radio, tv, nk. these people just need to think outside the box bana!

kama wabunge wanawaogopa RCs na DCs kuitisha mikutano then sidhani kama wabunge hao wanatufaa. wanachotakiwa kufanya is to keep those RCs & DCs on their toes ambao itafika mahala watafanya vitu stupid ambavyo vitawapa credit upinzani. wabunge wa upinzani seriously need to be creative!

ndiyo maana RC wa Arusha hivi juzi alitaka ku-score political mileage kwa ku-capitalise on the vacuum created by a quiet and an effective opposition.

tukiendelea kunung'unika hivi badala ya kuwa proactive, upinzani kwishnei!
mkuu hivi kwa sasa mbunge wa arusha mjini kwa sasa yuko wapi?
 
Mkuu kwa katiba ya nchi yetu 2020 lazima aingie muhula wa pili hata msipompa kura

..kama ukawa wana nia ya dhati ya kubadili katiba basi hawana budi kuwa na wabunge wengi zaidi ktk bunge letu.

..actually katiba yetu inaelekeza kwamba Waziri Mkuu atateuliwa kutoka ktk chama chenye wabunge wengi zaidi bungeni. Now, i dont think that is a bad position to be.

..vilevile katiba yetu inaelekeza kwamba ili mswada upite bungeni ni lazima ukubalike na 2/3 ya wabunge. Kwa hiyo ukawa wanaweza kuwa more effective kama wakiwa na wabunge zaidi ya asilimia kuanzia 35.

..kwa hiyo ukawa wawekeze pia kwenye kupata wabunge na madiwani wengi zaidi.
 
mkuu, kutumia social media kwa siasa za Watanzania kuna ugumu gani? kikubwa ni kuhakikisha message inakuwa picked na vyombo vilivyo karibu na wananchi kama magazeti, radio, tv, nk. these people just need to think outside the box bana!

kama wabunge wanawaogopa RCs na DCs kuitisha mikutano then sidhani kama wabunge hao wanatufaa. wanachotakiwa kufanya is to keep those RCs & DCs on their toes ambao itafika mahala watafanya vitu stupid ambavyo vitawapa credit upinzani. wabunge wa upinzani seriously need to be creative!

ndiyo maana RC wa Arusha hivi juzi alitaka ku-score political mileage kwa ku-capitalise on the vacuum created by a quiet and an effective opposition.

tukiendelea kunung'unika hivi badala ya kuwa proactive, upinzani kwishnei!
Shida ni moja mkuu. Wabunge wa upinzani wako sehemu ndogo tuu ya maeneo ya nchi na eneo kubwa linakosa wazungumzaji kwa vile hakuna wawakilishi hivyo katazo hilo bado ni shida.
Labda uniambie mahali kama Lindi kama wana diwani anaanda mkutano huku kesha mpanga kiongozi wa kitaifa au mashuhuri kama mgeni mwalikwa. Hapo watawala watafanya nini kwani kuna sheria ya kunzuia mtu kukaribishwa mahali?
 
Nawaza tu kwa sauti,

Mara ndo slaa huyu hapa anauchambua utendaji wake,

Bungeni anapigwa na lisu na mnyika,

Haki ya Mungu angeomba pooo
 
Shida ni moja mkuu. Wabunge wa upinzani wako sehemu ndogo tuu ya maeneo ya nchi na eneo kubwa linakosa wazungumzaji kwa vile hakuna wawakilishi hivyo katazo hilo bado ni shida.
Labda uniambie mahali kama Lindi kama wana diwani anaanda mkutano huku kesha mpanga kiongozi wa kitaifa au mashuhuri kama mgeni mwalikwa. Hapo watawala watafanya nini kwani kuna sheria ya kunzuia mtu kukaribishwa mahali?
mkuu, hata hizo sehemu chache tunataka tusikie sauti zao. media ipo. mpinzani akifanya kitu kizuri Sumbawanga, wa Pemba, Mtwara, Chato, etc watajua kupitia media. kikubwa someone must do/say something cha ku-inspire watu. injili itaenea tu pasi na shaka!
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom