Mikutano ya Mh. Nape itaepusha hukumu iliyo mbele yake?

Tankthinker

Member
May 1, 2011
58
9
Ushauri wangu kwa CCM ni kwamba waache kujidanganya, bali washughulikie kero za wananchi. Kama wanadhani ujanja ujanja utamaliza tatizo la CCM kwa wananchi hii itakuwa ni ndoto kabisa. CCM wanatakiwa wajue kuwa matatizo ya wananchi ni halisi na yanahitaji ufumbuzi halisi, na si kuzunguka zunguuka kupiga siasa kama Mr. Nape anavyo fanya sasa. Ni kweli kuzunguka atazunguka hata kama ataimaliza Tanzania nzima. Ukweli utabaki kuwa wananchi wanahitaji mabadiliko na si masimulizi ya kisiasa. Faida pekee ya uzungukaji wa Mh. Nape ni wingi wa posho atakazo jipatia, na si kuondoa tatizo la CCM machoni pa Watanzania. Kama kweli ninyi viongozi wa CCM mnamasikio basi sikeni, na kama kweli mna macho basi tazameni, nakama kweli mna akili basi eleweni. Vinginevyo 2015 itawahukumuni tena kwa aibu kubwa sana kuliko hii mlio nayo, maana ninyi mkidhani ni ujuzi wa kusimama majukwaani na kupiga kelele kana kwamba CHADEMA ndio tatizo. Watanzania wanataka maisha bora kwa kila Mtanzania, hicho ndicho kilio chao na si vinginevyo. Mkiendelea kupuuza ukweli huu, huku mkitegemea uchakachuaji utawalinda daima, tambueni kuwa mnajindanganya kwa mbali sana. Get ready CCM you are about to be replaced.
 
Ushauri wangu kwa CCM ni kwamba waache kujidanganya, bali washughulikie kero za wananchi. Kama wanadhani ujanja ujanja utamaliza tatizo la CCM kwa wananchi hii itakuwa ni ndoto kabisa. CCM wanatakiwa wajue kuwa matatizo ya wananchi ni halisi na yanahitaji ufumbuzi halisi, na si kuzunguka zunguuka kupiga siasa kama Mr. Nape anavyo fanya sasa. Ni kweli kuzunguka atazunguka hata kama ataimaliza Tanzania nzima. Ukweli utabaki kuwa wananchi wanahitaji mabadiliko na si masimulizi ya kisiasa. Faida pekee ya uzungukaji wa Mh. Nape ni wingi wa posho atakazo jipatia, na si kuondoa tatizo la CCM machoni pa Watanzania. Kama kweli ninyi viongozi wa CCM mnamasikio basi sikeni, na kama kweli mna macho basi tazameni, nakama kweli mna akili basi eleweni. Vinginevyo 2015 itawahukumuni tena kwa aibu kubwa sana kuliko hii mlio nayo, maana ninyi mkidhani ni ujuzi wa kusimama majukwaani na kupiga kelele kana kwamba CHADEMA ndio tatizo. Watanzania wanataka maisha bora kwa kila Mtanzania, hicho ndicho kilio chao na si vinginevyo. Mkiendelea kupuuza ukweli huu, huku mkitegemea uchakachuaji utawalinda daima, tambueni kuwa mnajindanganya kwa mbali sana. Get ready CCM you are about to be replaced.

Hata mandamano ya CDM yanawapa posho akina Slaa na Mbowe tena wanatumia vibaya ruzuku. Wananchi walio wengi vijijini wanamshabikia Nape, majuzi kapokea kazi za CDM huko Sumbawanga. Wewe hauwezi kutoa maoni mazuri kwa CCM! Tunakupotezea
 
Ushauri wangu kwa CCM ni kwamba waache kujidanganya, bali washughulikie kero za wananchi. Kama wanadhani ujanja ujanja utamaliza tatizo la CCM kwa wananchi hii itakuwa ni ndoto kabisa. CCM wanatakiwa wajue kuwa matatizo ya wananchi ni halisi na yanahitaji ufumbuzi halisi, na si kuzunguka zunguuka kupiga siasa kama Mr. Nape anavyo fanya sasa. Ni kweli kuzunguka atazunguka hata kama ataimaliza Tanzania nzima. Ukweli utabaki kuwa wananchi wanahitaji mabadiliko na si masimulizi ya kisiasa. Faida pekee ya uzungukaji wa Mh. Nape ni wingi wa posho atakazo jipatia, na si kuondoa tatizo la CCM machoni pa Watanzania. Kama kweli ninyi viongozi wa CCM mnamasikio basi sikeni, na kama kweli mna macho basi tazameni, nakama kweli mna akili basi eleweni. Vinginevyo 2015 itawahukumuni tena kwa aibu kubwa sana kuliko hii mlio nayo, maana ninyi mkidhani ni ujuzi wa kusimama majukwaani na kupiga kelele kana kwamba CHADEMA ndio tatizo. Watanzania wanataka maisha bora kwa kila Mtanzania, hicho ndicho kilio chao na si vinginevyo. Mkiendelea kupuuza ukweli huu, huku mkitegemea uchakachuaji utawalinda daima, tambueni kuwa mnajindanganya kwa mbali sana. Get ready CCM you are about to be replaced.

sio rahisi wakuelewe sasa, ila kwa sababu wao wameona mvuto ni uvuvuzela waache.
 
huu ni ushauri mzuri sana kama ungeshauri
watu wenye fikra
lakini kuna watu/chama fikra zao ni sawa na za mizoga
 
Well said, maana katika speech zake, nape anakiri rushwa na ufisadi ndani ya ccm kuwa vimekizorotesha chama na serikali yake. Ukimsikiliza hatua za kuchukua anasema SUBIRI baada ya zile siku 90, SUBIRI bajeti ijayo itajibu, SUBIRI uchaguzi ujao wa ccm utawatosa wengi. Yaani porojo mtindo mmoja, hakuna mahali anapofafanua sera na dira ya ccm kuelekea maisha bora! Yeye na cdm tu jambo ambalo si tatizo letu la msingi.
 
Hata mandamano ya CDM yanawapa posho akina Slaa na Mbowe tena wanatumia vibaya ruzuku. Wananchi walio wengi vijijini wanamshabikia Nape, majuzi kapokea kazi za CDM huko Sumbawanga. Wewe hauwezi kutoa maoni mazuri kwa CCM! Tunakupotezea

Ostrich philosophy
 
Mkuu unafikiri hawa mababu wataweza kitu chochote. The problem is we as Tanzanians need to forget and close the book of phony politicians and we should not focus on ccm no more.

ccm is a disease and I until now the world doesn't have cure for it.
 
Hakuna lolote la maana linalofanywa na Nape kukisaidia chama.....
 
Sikio la kufa halisikii dawa.nawashangaa sana hawa mamluki wanaotetea ccm kwa hoja mbovu mbovu humu jf.mnazidi kukipoteza chama.
 
Nape anasaka wanachama wa kufufua CCJ kwa kutumia gharama za CCM. Siku CCM wakishtuka watakuta Sekretariet yao nzima ni New CCJ
 
Ushauri wangu kwa CCM ni kwamba waache kujidanganya, bali washughulikie kero za wananchi. Kama wanadhani ujanja ujanja utamaliza tatizo la CCM kwa wananchi hii itakuwa ni ndoto kabisa. CCM wanatakiwa wajue kuwa matatizo ya wananchi ni halisi na yanahitaji ufumbuzi halisi, na si kuzunguka zunguuka kupiga siasa kama Mr. Nape anavyo fanya sasa. Ni kweli kuzunguka atazunguka hata kama ataimaliza Tanzania nzima. Ukweli utabaki kuwa wananchi wanahitaji mabadiliko na si masimulizi ya kisiasa. Faida pekee ya uzungukaji wa Mh. Nape ni wingi wa posho atakazo jipatia, na si kuondoa tatizo la CCM machoni pa Watanzania. Kama kweli ninyi viongozi wa CCM mnamasikio basi sikeni, na kama kweli mna macho basi tazameni, nakama kweli mna akili basi eleweni. Vinginevyo 2015 itawahukumuni tena kwa aibu kubwa sana kuliko hii mlio nayo, maana ninyi mkidhani ni ujuzi wa kusimama majukwaani na kupiga kelele kana kwamba CHADEMA ndio tatizo. Watanzania wanataka maisha bora kwa kila Mtanzania, hicho ndicho kilio chao na si vinginevyo. Mkiendelea kupuuza ukweli huu, huku mkitegemea uchakachuaji utawalinda daima, tambueni kuwa mnajindanganya kwa mbali sana. Get ready CCM you are about to be replaced.

CCM hawana macho wala masikio ni sawa sawa unampigia mbuzi gitaa
 
Hata mandamano ya CDM yanawapa posho akina Slaa na Mbowe tena wanatumia vibaya ruzuku. Wananchi walio wengi vijijini wanamshabikia Nape, majuzi kapokea kazi za CDM huko Sumbawanga. Wewe hauwezi kutoa maoni mazuri kwa CCM! Tunakupotezea

Ushabiki mwingine ni wa kitoto kweli mtoa hoja ametoa hoja yenye mashiko kabisa bt kwa kuwa wewe unawaza utumbo unawaza maandamano ya cdm tu kwani nani kaongelea posho hapo?ccm washughulikie kero za wananchi na waache porojo hiyo ndio point hapo
 
ilikuwa kila siku lowassa, lowassa....
ikaja
rostam, rostam, chenge, chenge
na sasa mmehamia
kwa nape....mnampenda huyu nape ?? au wivu
Gunz, Tatizo sio Nape kuzunguka kwa wananchi, Tatizo ni CCM kukubali kuwa Tatizo siyo CHADEMA ni hali duni ya maisha ya wananchi na wao wamepewa ridhaa ya kutatua matatizo hayo ya wananchi. Inabdi wanahutubia majukwaani waseme ni kwa kiasi gani wametatua kero hizo na siyo kuanza kusema CHADEMA wanataka vita watatuweka vitani wanachochea migomo wanaendesha maandamano! Hilo lisiwe ajenda maaana wanawajenga CHADEMA zaidi kwamba hata pale CHADEMA haina mvuto itaonekana kuwa kumbe CHADEMA ndiyo inainyima CCM usingizi hivyo kila mwanachama wa CCM akitaka kuondoka CCM atajiunga na CHADEMA maana anajua ndiyo adui wa CCM.
Lazima CCM ijue kuwa watanzania tunahitaji nini. Amani tunayo na tunahitaji sana lakini ukiwakandamiza wananchi sana siku moja watalipuka na kuwatuliza itakuwa ngumu sana. Ukiendelea kujaza mpira uliojaa kwa pump ule mpira utapasuka na ile hewa yote itatoka na kutapakaa na kukusanya tena itakuwa ni ngumu sana!
 
Ushauri wangu kwa CCM ni kwamba waache kujidanganya, bali washughulikie kero za wananchi. Kama wanadhani ujanja ujanja utamaliza tatizo la CCM kwa wananchi hii itakuwa ni ndoto kabisa. CCM wanatakiwa wajue kuwa matatizo ya wananchi ni halisi na yanahitaji ufumbuzi halisi, na si kuzunguka zunguuka kupiga siasa kama Mr. Nape anavyo fanya sasa. Ni kweli kuzunguka atazunguka hata kama ataimaliza Tanzania nzima. Ukweli utabaki kuwa wananchi wanahitaji mabadiliko na si masimulizi ya kisiasa. Faida pekee ya uzungukaji wa Mh. Nape ni wingi wa posho atakazo jipatia, na si kuondoa tatizo la CCM machoni pa Watanzania. Kama kweli ninyi viongozi wa CCM mnamasikio basi sikeni, na kama kweli mna macho basi tazameni, nakama kweli mna akili basi eleweni. Vinginevyo 2015 itawahukumuni tena kwa aibu kubwa sana kuliko hii mlio nayo, maana ninyi mkidhani ni ujuzi wa kusimama majukwaani na kupiga kelele kana kwamba CHADEMA ndio tatizo. Watanzania wanataka maisha bora kwa kila Mtanzania, hicho ndicho kilio chao na si vinginevyo. Mkiendelea kupuuza ukweli huu, huku mkitegemea uchakachuaji utawalinda daima, tambueni kuwa mnajindanganya kwa mbali sana. Get ready CCM you are about to be replaced.
Anachafanya NAPE ndicho alichotumwa na Chama Chake Cha Mapinduzi. Nape kama Nape anatekeleza majukumu aliyoelekezwa. Tatizo lipo kwenye Kamati nzima. Kugundua tatizo ni nini hasa! Kwanini wananchi wanawashabikia wapinzani zaidi sasa kuliko miaka mingine iliyopita! Na wakigunduwa hilo na kulitekeleza na kupeleka kwa wananchi jinsi walivyotekeleza CCM itaendelea kuwa Chama imara Tanzania nzima. Lakini kwa hili la ku-single out CHADEMA tu nadhani ni mbio za sakafuni!!!
 
Anachafanya NAPE ndicho alichotumwa na Chama Chake Cha Mapinduzi. Nape kama Nape anatekeleza majukumu aliyoelekezwa. Tatizo lipo kwenye Kamati nzima. Kugundua tatizo ni nini hasa! Kwanini wananchi wanawashabikia wapinzani zaidi sasa kuliko miaka mingine iliyopita! Na wakigunduwa hilo na kulitekeleza na kupeleka kwa wananchi jinsi walivyotekeleza CCM itaendelea kuwa Chama imara Tanzania nzima. Lakini kwa hili la ku-single out CHADEMA tu nadhani ni mbio za sakafuni!!!

CCM HAS RELIED ON POWER AND FORGOT THEIR HEADS.
Hakuna wanachoona, hakuna wanachofikiria, na hawajui wafanye nini kumnufaisha Mtz isipokuwa kuamrisha dola ichafue Amani na usalama wa raia katika kuitafuta haki.
A HERO DOES NOT NEED A WEAPON TO SAVE PEOPLE ONLY FREEDOM, PROBABILITY, CONSISTANCE and STRATEGIC MANAGEMENT.
WAR FRONT CHADEMA LETS GO.
 
ilikuwa kila siku lowassa, lowassa....
ikaja
rostam, rostam, chenge, chenge
na sasa mmehamia
kwa nape....mnampenda huyu nape ?? au wivu

Nani kakwambia tumeacha lowassa, lowassa....rostam, rostam......chenge, chenge?.....hatujaacha na tumeunganisha na nape.....nape....
 
Back
Top Bottom