Hivi ni kweli watu wote wanaokwenda katika mikutano ya JK wanakwenda kwa ajili ya kumsikiliza mgombea wao au wanakwenda kuwaona wasanii wanaoambatana na mgombea huyo, Jamani mnaokuwa maeneo hayo hebu tusaidieni!!
Hivi ni kweli watu wote wanaokwenda katika mikutano ya JK wanakwenda kwa ajili ya kumsikiliza mgombea wao au wanakwenda kuwaona wasanii wanaoambatana na mgombea huyo, Jamani mnaokuwa maeneo hayo hebu tusaidieni!!
1. Wengi ni watoto waliotoroka majumbani mwao kumwona raisi, ama wamelazimishwa ili kujaza mkutano kama tulivyosikia kwa baadhi ya wanafunzi wa shule za msingi
2. Kuna ambao wanapewa posho kwa ajili ya kwenda kwenye hiyo mikutano (posho haizidi 5,000/=)
3. Kama tunavyojua watz wengi maisha ya umaskini wa kutisha so wanakuwa wanaona kama starehe kuparamia hayo malori yanayotolewa ili kuwahamasisha kwenda kwenye hiyo mikutano.
4. Halafu kundi kubwa zaidi ni linalofuata wasanii.. Na ndio maana CCM kwa kujijua wazi wamechokwa wakaona watumie wasanii ili wavutie watu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.