Mikutano ya hadhara ya wapinzani inafanyika Zanzibar, wakati Tanganyika imezuiliwa. Je, Rais Samia ana double standard?

Zanzibar safari hii itaimeza Tanganyika. Dalili zote ziko wazi.

Hivi Tanganyika ilishawasilisha kero ngapi za Muungano na ngapi zimepatiwa ufumbuzi, kuna anayejua hili kwa usahihi?

Kama bado Tanganyika haijawahi peleka kero zake za Muungano, ni wakati mwafaka ziwasilishwe ili zipate ufumbuzi.

Mojawapo ya kero hizo itakuwa ni Tanganyika kuongozwa na mtu toka nchi nyingine ambaye si raia wake.

Haya mambo tunaweza kuyachukulia mzaha mzaha, lakini ndiyo hivyo tena, sioni Muungano ukiimarika.
Nyerere aliua na kuizika Tanganyika

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
CCM sio chama cha kidini wala ethnicity wanachama wake wanadini tofauti, rangi tofauti na utamaduni tofauti.

CCM kama taasisi kamwe akiwezi mpangia mwanachama wake namna ya kukiombea mema chama; lakini akiwezi promote agenda ya mtu mmoja mmoja ata huyo Magufuli masheikh wake na mapadri wake ilikuwa huko huko lakini sio kwenye mikutano rasmi ya CCM.

Watu wanaofanya siasa za brainwashing kama hizo ni CDM na ACT wazalendo (ila hii ya leo ni kiboko na lazima ni Pemba tu).

That is unacceptable kuchanganya siasa na dini namna hiyo let alone kufanya mikutano ya hadhara kipindi; I have always said this Othman Masoud is an enemy of the state.

Eitherway nikutakie maisha mema kwenye harakati zako za siasa; hutoniona tena after this post; mama yenu ana muda wa kutengeneza documentary kwenye nchi ya matatizo luluki. Kazi kwenu.

My last one nawatakia wanasiasa wote wa pande zote harakati njema na zenye kulinda amani; tunajenga nyumba moja tunatofautiana mitazamo tu it’s been a pleasure.

Enjoyed every moment I was here; kwa sasa ntakuwa msomaji tu 👋👋👋
haya nenda
 
Zanzibar safari hii itaimeza Tanganyika. Dalili zote ziko wazi.

Hivi Tanganyika ilishawasilisha kero ngapi za Muungano na ngapi zimepatiwa ufumbuzi, kuna anayejua hili kwa usahihi?

Kama bado Tanganyika haijawahi peleka kero zake za Muungano, ni wakati mwafaka ziwasilishwe ili zipate ufumbuzi.

Mojawapo ya kero hizo itakuwa ni Tanganyika kuongozwa na mtu toka nchi nyingine ambaye si raia wake.

Haya mambo tunaweza kuyachukulia mzaha mzaha, lakini ndiyo hivyo tena, sioni Muungano ukiimarika.
Samia akiamua kuikalia tanganyika atakaa hata miaka 30. Tumelala
 
Back
Top Bottom