dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,495
- 3,458
Watu wa Dar na wa kwenye keyboard ni masharobaro hii kitu hawawezi
Dar es salaam itakuwa ya CCM MILELE:nerd:
dar wanaogopa mvua kuliko magari. ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wa Dar na wa kwenye keyboard ni masharobaro hii kitu hawawezi
Dar es salaam itakuwa ya CCM MILELE:nerd:
watu wa mbeya mmetutia moyo sanaa,,hongereni wakuu,
nilikuwa na mashaka kidogo hasa na watu wa mbalizi maana ndio ngome ya ccm
Safi sana! ila mafuriko yakiwakumba CCM kwa vile inawapenda sana supporters wake inawapa milioni 4 tuu, na wale ambao supporters wake wako Mbeya zaidi na wana ruzuku ndogo sana wao wanawapa milioni 25.Watu wa Dar na wa kwenye keyboard ni masharobaro hii kitu hawawezi
Dar es salaam itakuwa ya CCM MILELE:nerd:
Hapa pametulia kwa ukombozi wa Tanzania! Anayebisha amwambie MKWELE ahutubie kwenye mvua aone kama watu watamvumilia kumsikiliza!!!!!! PPPPEEEEEOOOOPPPPLLLLEEEEE'SSSSSSS!!!!!
Mkuu nilivyosoma hilo bango KARIBU RAIS WA WATU UJISIKIE UPO IKULU YA NYUMBANI limenigusa sana napenda sana huyu jamaa kama angekuwa rais wa hii nchi kwa sasa 2ngekuwa kwenye hali ya kuridhisha sana.
Umeona eeeeeeh!! watu wamechoka na tabasamu danganyifu!Duh kweli watu wana moyo