Mikutano ya CCM ruksa pamoja kuna Uviko-19. Wapinzani wanazuiwa

Polisi wetu wanadharauliwa na viongozi wa CCM.... Polisi waache siasa kwenye utendaji wao,watapata heshima na kuungwa mkono na sisi raia
 
Polisi wetu wanadharauliwa na viongozi wa CCM.... Polisi waache siasa kwenye utendaji wao,watapata heshima na kuungwa mkono na sisi raia
Labda wewe ndiyo utawaunga mkono
 
Siro anaweza akasababisha public upheaval kwasababu kizazi hiki hakitaki Injustice.
 
Jeshi la Polisi limeshindwa kutoa maelezo ya kwanini linazuia mikutano ya ndani ya chama cha NCCR Mageuzi kwa sababu za kiusalama na Kuepusha maambukizi ya Covid-19 kwenye mkoa wa Dar es Salaam lakini limeruhusu mkutano wa CCM kwenye aneo lilelile.

Kisheria hii haiwezi kufunguliwa kesi na kuhitaji tafsiri kamili ya kuzuia mikutano ya ndani kwa ajili ya maambukizi ya Uviko-19?
 
Jeshi la Polisi limeshindwa kutoa maelezo ya kwanini linazuia mikutano ya ndani ya chama cha NCCR Mageuzi kwa sababu za kiusalama na Kuepusha maambukizi ya Covid-19 kwenye mkoa wa Dar es Salaam lakini limeruhusu mkutano wa CCM kwenye aneo lilelile.

"Ugaidishaji" wa upinzani wa kisiasa uliopo kikatiba ulianza 2016 baada ya serikali ya JPM kuingua madarakani na unaendelea hata baada ya JPM kufariki
 
Back
Top Bottom