Ed Kawiche
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 2,591
- 4,636
siyo IGP ni "igp gasho"
Tumuite the Police Inspector General (PIG)siyo IGP ni "igp gasho"
Chama Cha Mapolisi
Kwanza kuitazama hiyo picha macho yangu yanagoma kabisa
Kilicho laaniwaChama Cha Mapolisi
Labda wewe ndiyo utawaunga mkonoPolisi wetu wanadharauliwa na viongozi wa CCM.... Polisi waache siasa kwenye utendaji wao,watapata heshima na kuungwa mkono na sisi raia
Kisheria hii haiwezi kufunguliwa kesi na kuhitaji tafsiri kamili ya kuzuia mikutano ya ndani kwa ajili ya maambukizi ya Uviko-19?Jeshi la Polisi limeshindwa kutoa maelezo ya kwanini linazuia mikutano ya ndani ya chama cha NCCR Mageuzi kwa sababu za kiusalama na Kuepusha maambukizi ya Covid-19 kwenye mkoa wa Dar es Salaam lakini limeruhusu mkutano wa CCM kwenye aneo lilelile.
"Ugaidishaji" wa upinzani wa kisiasa uliopo kikatiba ulianza 2016 baada ya serikali ya JPM kuingua madarakani na unaendelea hata baada ya JPM kufarikiJeshi la Polisi limeshindwa kutoa maelezo ya kwanini linazuia mikutano ya ndani ya chama cha NCCR Mageuzi kwa sababu za kiusalama na Kuepusha maambukizi ya Covid-19 kwenye mkoa wa Dar es Salaam lakini limeruhusu mkutano wa CCM kwenye aneo lilelile.
Watasema hilo joka la kijani waliomba kibali polisiJeshi la Polisi limeshindwa kutoa maelezo ya kwanini linazuia mikutano ya ndani ya chama cha NCCR Mageuzi kwa sababu za kiusalama na Kuepusha maambukizi ya Covid-19 kwenye mkoa wa Dar es Salaam lakini limeruhusu mkutano wa CCM kwenye aneo lilelile.
Huo ndio weledi wa kitanzania,huo ndio weledi wa waliojimilikisha yote, nalisikitikia taifa langu.