iparamasa
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 13,438
- 14,916
sijui kama mtukufu anajua kwamba ile mikutano ya kisiasa sasa inaendelea katika maeneo yasiyo rasmi.
Ni mikutano mikubwa na wahudhuriaji wanapokezana kuhutubia huku wakishutumu vikali hali ya kiuchumi.
Wanaopanda madaladala wanajua hili,kuna mapambano makubwa ya kisiasa yanaendelea ndani ya vyombo hivyo vya usafiri ambapo abiria huhubiriana mambo mbali mbali kuhusu nchi yao,haswa masuala ya kiuchumi,na wengi huongea kwa hisia kali.
hali hii inaendelea katika mabasi,vituo vya daladala,sokoni na sijui kama kuna wa kuizuia.wote.wanajadili hali ngumu ya kiuchumi na hali mbaya kisiasa.
Hakika wananchi wana bunge lao na mikutano yao inaendelea,japo serikali inajifariji kwamba imeipiga marufuku
Ni mikutano mikubwa na wahudhuriaji wanapokezana kuhutubia huku wakishutumu vikali hali ya kiuchumi.
Wanaopanda madaladala wanajua hili,kuna mapambano makubwa ya kisiasa yanaendelea ndani ya vyombo hivyo vya usafiri ambapo abiria huhubiriana mambo mbali mbali kuhusu nchi yao,haswa masuala ya kiuchumi,na wengi huongea kwa hisia kali.
hali hii inaendelea katika mabasi,vituo vya daladala,sokoni na sijui kama kuna wa kuizuia.wote.wanajadili hali ngumu ya kiuchumi na hali mbaya kisiasa.
Hakika wananchi wana bunge lao na mikutano yao inaendelea,japo serikali inajifariji kwamba imeipiga marufuku