mzalendo iq1
JF-Expert Member
- Mar 10, 2020
- 1,258
- 1,541
Habari wadau,
Katika Mambo ambayo chadema itapoteza sifa ni baadh ya viongozi Wake kufanya kitu bila kufikiria
Chadema inatakiwa isitoe matamko kwa baadh tu ya chuki zao binafs Ila kwa maslai mapana ya chama.
Chadema swala la Corona na Lock down limewavua nguo mchana kweupe Kama viongoz wastarabu walitakiwa kuchutama na Sio kuendeleza misimamo Yao ambayo imekua aibu kwao.
Mfano leo itokee mnekutana na swal kwenye jukwaa kwanini mlikua mnataka Serekal ifungie watu ndani wakat mnajua kabisa wale watu ni maskin wako radh kutoka ndan kupambana kuliko kujificha. Tena mkafika mbali hata kususia Bunge ili kuonyesha misimamo yenu
Ivi mnafikir chadema wale Wabunge mlio wafukuza kisa wameenda bungeni kwenye majimbo Yao mtawaambia nin hamuoni Kama mnapotea muda?
Kusema kweli chadema mmesha poteana
Chadema mkitaka mjue tayar game imesha kua ngum angalien hata siasa za kwenye mitandao zimeanza kua mgum kwenu sasahivi mnaelemewa na kuanza kutukana badala ya hoja
Uzi nyingi za upinzan siku izi haziongelei Tena miundo mbinu Kama tulivyo zoea Zaman wao walikua wakosoaji wakubwa wa ndani Ila sasaiv wamekua documentary ya Rais Magufuli sababu kila siku wao Wana zungumzia maisha yake upinzan sasaiv haupamban Tena na CCM Ila unapambana na Rais magufuli hii ni AIBU
Katika Mambo ambayo chadema itapoteza sifa ni baadh ya viongozi Wake kufanya kitu bila kufikiria
Chadema inatakiwa isitoe matamko kwa baadh tu ya chuki zao binafs Ila kwa maslai mapana ya chama.
Chadema swala la Corona na Lock down limewavua nguo mchana kweupe Kama viongoz wastarabu walitakiwa kuchutama na Sio kuendeleza misimamo Yao ambayo imekua aibu kwao.
Mfano leo itokee mnekutana na swal kwenye jukwaa kwanini mlikua mnataka Serekal ifungie watu ndani wakat mnajua kabisa wale watu ni maskin wako radh kutoka ndan kupambana kuliko kujificha. Tena mkafika mbali hata kususia Bunge ili kuonyesha misimamo yenu
Ivi mnafikir chadema wale Wabunge mlio wafukuza kisa wameenda bungeni kwenye majimbo Yao mtawaambia nin hamuoni Kama mnapotea muda?
Kusema kweli chadema mmesha poteana
Chadema mkitaka mjue tayar game imesha kua ngum angalien hata siasa za kwenye mitandao zimeanza kua mgum kwenu sasahivi mnaelemewa na kuanza kutukana badala ya hoja
Uzi nyingi za upinzan siku izi haziongelei Tena miundo mbinu Kama tulivyo zoea Zaman wao walikua wakosoaji wakubwa wa ndani Ila sasaiv wamekua documentary ya Rais Magufuli sababu kila siku wao Wana zungumzia maisha yake upinzan sasaiv haupamban Tena na CCM Ila unapambana na Rais magufuli hii ni AIBU