HahaMwingne hata ajiedt vp bd n kituko,
Unakutana na midole ya miguu kama
Mafungu ya tangawizi, kajaza mihereni
kila kona, akianguka utadhan
kengere ya uji ya ile shule yetu ya
primary enz zile kule ushirombo, usiombee apige chafya ile anajivuta
apige "NNNNCHAAAAA!!!!"
ukimwangalia usoni utakutana na uso
ambao utaamin kweli binadamu
tumetoka kwenye evolution,
Zinjatropus akasome, Akilala akiamka utakutana na uso kama papai huku
umeshuka chin kama pumb
zilizopigwa na jua/joto