Naomba kuuliza wadau wa sheria. Niriajiriwa bank na baada ya miezi sita nikapewa mkopo wa 10m na nikawa nalipa nikiwa mfanyakazi hapo bank. Nikapata fursa ya kuitwa na mwajiri wangu wa zamani kwa maana bank ajira ilikuwa kwenda polisi any time na dau la mara hii likawa zuri nikaenda. Bank wakaniondolea rate yao ya ufanyakazi wakaweka riba ya mtu wa kawaida. Nikalipa deni kwa miaka miwili kama nusu hvi ila sasa huku kazi nimepunguzwa baada ya kampuni kukosa tender. Kifupi sina kipato kabisa na mkopo haukuwa nadhamana zaidi ya salary. Bank wana nipigia simu sana na kuniambia watanikamata na kutaifisha mali au kitu ninachomiriki hata kama nimesha lipa 50% ya loan yao. Nifanyeje hapa sasa kosheria. ??