Katika mambo ambayo nipo mbioni kuachana nayo ni kukopa kwenye taasisi za fedha.Yaani utajaza mifomu utaanza zungushwaaa utafikiri unapewa bure, Mara kuna waraka Wa mkurugenzi Wa huduma unaelekeza ivi Mara ivi , wakati Wa chaz ilikuwa fasta
Tangu Kimei aondoke siwaelewi kabisa.
Hana ubunifu amekomaa kwenye charges badala ya ku come up na potential products mpya ambazo zitafanya benki kuwa stable kwa kuwa na products nyingi!!mkurugenz mpya toka ameingia anaongeza charges ndogo ndogo..
naona anataka apige faida kubwa kwa vi charge charge tu vidogo vidogo
Vipeperushi vyao wameandika siku 7 unapata sasa jaza form upate habari yakeSio kweli...! Fomu za CRDB zipo simplified sana. Jambo naloweza support ni kuwa kikokotoo vya mikopo vya mabenki mengi mwisho wa siku vinafanana.
Wote hatuwezi kueelewa maaana mikopo ilikuwa inatoka kiundugu tuuuuuuuTangu Kimei aondoke siwaelewi kabisa.
Akili za wa TZ hatuupendi ukweli.Wote hatuwezi kueelewa maaana mikopo ilikuwa inatoka kiundugu tuuuuuuu
Huu ni uongo wa wazi wazi kabsa naona unataka kuupotosha umma. Crdb bank ina huduma nzuri sana sasa kama hukukidhi vigezo vya kupata mkopo ulitegemea wakupe mkopo? Unahisi kupata mkopo ni sawa na kununua karanga sokoni?Niliomba tangu mwezi wa kwanza nimepata mwezi wa nne, crdb sina hamu nao, zilivyoingia nikazivuta kabisa
nendeni nbc, wananunua mpaka madeni piaNiliomba tangu mwezi wa kwanza nimepata mwezi wa nne, crdb sina hamu nao, zilivyoingia nikazivuta kabisa
Ulivuta m ngapi mkuu?Niliomba tangu mwezi wa kwanza nimepata mwezi wa nne, crdb sina hamu nao, zilivyoingia nikazivuta kabisa