Duh hizo riba hatari sana kidogo nizimie kubwa mnno nyie kweli mtakua mmepata kibali cha BOT?manake wangewaregulate kwa mujibu wa sheria wasingekubali muwakamue wananchi hivyoKampuni ya CRM Financial services kwa ushirikiano wa VKP Investment sasa inatoa mikopo kwa vikundi/wafanya biashara Na watu binafsi/waajiliwa kwa marejesho ya miezi 3,6 Na 12 kwa riba ya 20%,30,nk
Kwamawasiliano zaidi fika offisini kwetu Mbezi shule mkabala Na sheli ya Puma au piga sim
0757783401
0712183055
Huduma hii Ni Kwa wakazi WA Dar es salsa Na Arusha Tu.
Nyote mnakaribishwa.
ulitaka upewe riba kiasi gani kwa marejesho zaidi ya mwaka mzima? Ni taasisi gani ya kifedha umewah kupewa riba chini ya 30% kwa marejesho hadi ya miaka miwili Na miezi sita? Tena ukapata mkopo haraka bila hata yakua Na acount katka campuni hiyo kwamiez isio pungua miwili au mitatu!!30% ndo riba ndogo? Aisee
Kwa hiyo kama nipo Arusha nahitaji huduma nakuja ofisi yenu Mbezi shule, mkabala na sheli ya Puma....nice.
Hivi bank sio taasisi za kifedha? Mikopo 5years riba 18%.....anyway kazi njemaulitaka upewe riba kiasi gani kwa marejesho zaidi ya mwaka mzima? Ni taasisi gani ya kifedha umewah kupewa riba chini ya 30% kwa marejesho hadi ya miaka miwili Na miezi sita? Tena ukapata mkopo haraka bila hata yakua Na acount katka campuni hiyo kwamiez isio pungua miwili au mitatu!!
%ulitaka upewe riba kiasi gani kwa marejesho zaidi ya mwaka mzima? Ni taasisi gani ya kifedha umewah kupewa riba chini ya 30% kwa marejesho hadi ya miaka miwili Na miezi sita? Tena ukapata mkopo haraka bila hata yakua Na acount katka campuni hiyo kwamiez isio pungua miwili au mitatu!!
Riba ni ya kawaida na nafuu..watu wengi hawana uelewa wa ukokotoaji riba na hakika ungesema unatoza riba ya asilimia 3 kwa mwezi wangejaa humu na mngesumbuliwa kweli bila kujua kuwa hiyo ni ghali sana ..yaani asilimia 36 kwa mwaka mmoja...taasis nyingi sasa zinatoza 4 percent kwa mwezi ambayo ni karibu asilimia 48 kwa mwaka...ndiyo wengi wanakwama
Hivi bank sio taasisi za kifedha? Mikopo 5years riba 18%.....anyway kazi njema
Biashara haihitaji ukali mi nmekuambia nnachokijua hata hapo kwako mbona panafaa sana tunenda huko unapoona Ni sawa Mpendwa.
Swala la udanganyifu sio bank tu, kuna mtu alisema alichukua mkopo taasisi moja hivi inajulikana tu, kilichofata alikatwa mkopo kuliko muda waliokubaliana yani kama ni miaka miwili basi inaisha wao wanaendelea tudada japo jamaa simjui ila namtetea kwa kupinga hoja yako.. ni kwamba bank huwa hazitoi taarifa kamili ili zipate waters.. bank hazisemagi ukweli.. binafsi nilikopa nmb 8m na nikalipa 13m kwa miaka minne..
sasa ukipiga hesabu hapo ni zaidi ya 50% nililipa...
Ndo mambo yanayotakiwa kueleweshwa wateja make si kila mtu ana ufahamu na haya mambo, sasa kupanic plus kununa haisaidiiRiba ni ya kawaida na nafuu..watu wengi hawana uelewa wa ukokotoaji riba na hakika ungesema unatoza riba ya asilimia 3 kwa mwezi wangejaa humu na mngesumbuliwa kweli bila kujua kuwa hiyo ni ghali sana ..yaani asilimia 36 kwa mwaka mmoja...taasis nyingi sasa zinatoza 4 percent kwa mwezi ambayo ni karibu asilimia 48 kwa mwaka...ndiyo wengi wanakwama
Nadhani huyu amesahau kuwa ile 18% au 22% inayotajwa na mabenki ni kwa mwaka. Ina maana kwamba kwa miaka minne inaelekea kuwa mara nne ya hiyo, ila inapungua tu kwa sababu ya ukokotoaji unaotegemea kiasi cha mkopo KILICHOSALIA.dada japo jamaa simjui ila namtetea kwa kupinga hoja yako.. ni kwamba bank huwa hazitoi taarifa kamili ili zipate waters.. bank hazisemagi ukweli.. binafsi nilikopa nmb 8m na nikalipa 13m kwa miaka minne..
sasa ukipiga hesabu hapo ni zaidi ya 50% nililipa...