...usijali sana bosi, ndio maana kuna wenye nyumba na wapangaji. Ukijiridhisha nafsi yako kwamba miaka nenda rudi utakuwa mpangaji poa tu, ila hata hiyo kodi unayolipa kwa mwezi ni sawa na deni (mkopo), iwe ni mwezi kwa mwezi, miezi sita au hata mwaka kwa mwaka.
Imagine siku kibarua kikiota majani, utamuimbisha vipi baba mwenye nyumba? Raha ya Mortgage, unalipa deni na nyumba ni mali yako. Hizi kodi kwenye nyumba za kupanga unamfaidisha mwenye nyumba tu.
Tuna risks both ways bro.
You are right mkuu, ikiwa mtu unalipa kodi ya nyumba kati ya 80,000 - 100,000 -150,000 mpaka 200,000 ni bora ukacheck uwezekano wa kukopa. Maana ukipanga consecutively miaka kumi. Itakuwa heri aliyekopa maana ataendup kuwa na nyumba.
"Change Favours The Prepared Mind"