sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,989
- 4,129
Hapa Tanzania kuna kampuni inayofanya assembling ya matrekta kutoka Poland.
Kiwanda hicho kipo Eneo la Kibaha Pwani, mahali kilipokuwepo kiwanda cha Tamco kilichokuwa kinafanya assembling ya Scania na Trekta za Valmet.
Matrekta hayo yanauzwa kwa bei ya tsh.55Mln. Aina ya Arsus.
Lakini pia yanatolewa kwa mkopo, masharti yake ni Uwe na cash, tsh 12Mln na pia uwe na kadi ya CCM, bila hiyo kadi hupati mkopo.
Yaani kinachofanyika ni kunyima fursa watu wengine wenye nia na mkopo huo wa trekta, kila mtu awe CCM.
Poland ni nchi ya ki soshalisti ambayo sera zake za kiuchumi zime fail, wanaishi kwa kutegemea hisani za wazungu wenzao, sasa wamekuja Tanzania kupitia wadau wao wa CCM na kuhakikisha hupati trekta bila kuwaunga mkono CCM,
Huu ni ujinga tunaoendelea kuutunza, aisee, nimeshangaa sana, sipati picha kabisa.
Tunapoelekea tutakosa huduma za msingi hospitali na mashuleni bila kuwa na kadi ya CCM
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiwanda hicho kipo Eneo la Kibaha Pwani, mahali kilipokuwepo kiwanda cha Tamco kilichokuwa kinafanya assembling ya Scania na Trekta za Valmet.
Matrekta hayo yanauzwa kwa bei ya tsh.55Mln. Aina ya Arsus.
Lakini pia yanatolewa kwa mkopo, masharti yake ni Uwe na cash, tsh 12Mln na pia uwe na kadi ya CCM, bila hiyo kadi hupati mkopo.
Yaani kinachofanyika ni kunyima fursa watu wengine wenye nia na mkopo huo wa trekta, kila mtu awe CCM.
Poland ni nchi ya ki soshalisti ambayo sera zake za kiuchumi zime fail, wanaishi kwa kutegemea hisani za wazungu wenzao, sasa wamekuja Tanzania kupitia wadau wao wa CCM na kuhakikisha hupati trekta bila kuwaunga mkono CCM,
Huu ni ujinga tunaoendelea kuutunza, aisee, nimeshangaa sana, sipati picha kabisa.
Tunapoelekea tutakosa huduma za msingi hospitali na mashuleni bila kuwa na kadi ya CCM
Sent using Jamii Forums mobile app