Nkanaga
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 653
- 619
Nipo chuo kimojawapo cha binafsi hapa nchini nikichukua Bachelor of Education in Special needs(BEdSN) naingia mwaka wa pili. Tangu nimejiunga sijafanikiwa kupata mkopo kupitia Bodi ya mikopo kwa wanafunzi waliopo elimu ya juu HESLB. Tatizo hilo ni kwa nchi nzima. Nauliza kama kuna mwenye taarifa kuwa hivi karibuni nimesikia taarifa kua mifuko ya jamii kama PSPF na NSSF ipo mbioni kutoa mikopo hiyo. Kwa mwenye taarifa na ukweli juu ya jambo hili tafadhali naomba kujulishwa.JF kimbilio la taarifa zote siku zote heshima kwenu..