YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,910
- 51,903
Kwa utafiti wangu wengi wasio na ajira ni wale waliosomea digrii za bla bla zisizo za vitendo mfano za sheria, Bussiness Administration, Uchummi, Uhasibu, Uandishi wa Habari nk.
Serikali itoe mikopo kwa wanaosomea fani kama Engineering, Kilimo na Ufugaji, za Ujenzi na Uvuvi, Udaktari, Ufamasia nk.
Hizo digrii za blabla serikali imapoteza tu pesa zake kukopesha watu ambao ni vigumu kuajirika au kujiajiri hivyo mikopo kushindikana kulipika.
Serikali itoe mikopo kwa wanaosomea fani kama Engineering, Kilimo na Ufugaji, za Ujenzi na Uvuvi, Udaktari, Ufamasia nk.
Hizo digrii za blabla serikali imapoteza tu pesa zake kukopesha watu ambao ni vigumu kuajirika au kujiajiri hivyo mikopo kushindikana kulipika.