Ikiwa wewe ni mwajiriwa serikalini na unafanya kazi katika mikoa ya Kilimanjaro, Arusha au Manyara,unaweza kupata msaada wa mkopo mdogo usiozidi shilingi laki moja wakati wowote upatapo dharura kama vile ugonjwa, msiba,kuishiwa pesa katikati ya mwezi, mshahara kuchelewa n.k. Ili uweze kufaidika na mpango huu tutahitaji kukufahamu kwanza. Utakapowasiliana nasi mmojawapo katika timu yetu atapanga kuja kukutembelea mahali pako pa kazi na akiridhika juu ya uhakika wa ajira yako tutakuweka katika orodha ya watu wanaoweza kukopa wakati wowote. Kumbuka hatumkopeshi mtu ambaye hatujawahi kuonana naye ana kwa ana.
Wasiliana nasi sasa kwa namba zifuatazo:
0773817145 au 0786817145
Wajulishe na wengine habari hii njema.
Wasiliana nasi sasa kwa namba zifuatazo:
0773817145 au 0786817145
Wajulishe na wengine habari hii njema.