mrembowangu
Member
- Nov 20, 2013
- 25
- 8
Hiv kwa mtu anayeanza ajira ya ualimu kwa level ya degree anauwezo wa kuchukua mkopo benk baada ya mda gani na kiwango cha mwisho anachotakiwa kupewa mkopo ni sh ngap?Ukilinganisha na mshahara anaopata kwa level ya degree?