kipapi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 1,056
- 1,374
Makao Makuu ni pale POSTA opposite na MAHAKAMA YA RUFAAJe waijua *BANK OF AFRICA (BOA)*
Hii ni Benki inayotoa mikopo rahisi ya hadi asilimia kumi nukta saba tu kwa mwaka.
Mfano ukikopa milioni 1.
Riba ya mwaka mzima itakuwa 107000.
Yaani kwa mwaka mmoja utarejesha riba na mkopo jumla milioni moja laki moja na elfu saba *(1107000)*
Makato kwa kila mwezi mmoja kwa kipindi cha miezi 12 yatakuwa ni 92,250.
Kwa miaka miwili makato yatakuwa
58,583.
N.k
Hii ni tofauti na Benki nyingine zinazotoa asilimia 18 au 17
Mfano kwa milioni moja katika Benki inayotoa riba ya 17 utakatwa 97,000 kwa mwezi.
WANAPATIKANA WAPI HAWA JAMAA?