Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,428
- 4,218
Kama tulivyosikia IMF watanzania wana tatizo la kulipa pindi wanapokopa. Wana jamvi tujadiri tatizo ni nini maana kwa uzoefu hata kati ya mtu na mtu utamaduni wa mtanzania ni kuwa tunapokopeshana kulipa inakuwa matanga tatizo ni nini.si watanzania wa nchini tu hata wale watanzania walioko nje wanaogopa kukopeshana kwa sababu mojawapo ikiwa hiyo hiyo .karibu tujadili