Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,733
- 10,926
Ubarikiwe.Madeni huwa yanavuruga sana aisee, nilimkopesha rafiki yangu tukavutana sana. Ikawa tena hapokei calls zangu. Ikabidi nimsake anapopatikana anieleze kinagaubaga nini kinamsibu. Aisee mambo alokuwa anapitia nikajikuta mimi kumbe shida zangu zina kaunafuu. Ikabidi tu nimsamehe deni nimtafutie na zingine zimboost kidogo.
Kuna wakati mambo yanavurugika hadi unahisi dunia imekuelemea. Usikate tamaa mkuu, pambana tu kitaeleweka.