Mikopo Elimu ya Juu: Waziri wa Elimu, Prof. Joyce Ndalichako asema walio na fedha wasisubiri kukatwa 15%

Hata matiko naye mwehu tu,swali gani hilo sasa? Hakuna mtu analalamikia hiyo 15 asilimia.
Watu wanalamikia hayo mapenalt ambayo haya elezeki.
Mfano:1:pamoja na hiyo as.15 mtu anapigwa faini mfano kutoka mil.6 hadi kumi
2:Deni likiisha kwenye salary slip unaambiwa hilo siyo deni halisi.Deni halisi liko wap?
3: Umemaliza deni kwenye slip unaambiwa bado Retention fee.Faini ya mil.4 sijui ina cover nini
4:Deni la mdaiwa kwa watumishi mfano,afisa utumishi amalize kila kitu,mpk certificate of clearance Mtumishi aikute hapo.
5: Inakuwaje makato yapitie kwa afisa utumishi,halafu certificate of clearance unaambiwa wasiliana na Bodi.Ukiwasiliana na Bodi unaambiwa deni lako bado huku.
Mambo kama haya ni kero kupindukia.
Au mtu deni lake likiisha mfumo automatically ugenerete certificate kwani shida iko wapi? Laki wabunge wetu ndiyo hao,swali km hilo unataka Waziri ajibu nini?
Hata kama ingekuwa asilimia 20,haina shida,shida kubambikiwa madeni
 
Huyu prof angepata walau bafasi ya kufikishwa mahakamani kwa kosa flan wanafunga miaka mingi maana anaulizwa tafauti anajibu vingine.
Anyaway huo mkopo ji kama chuma ulete ya serekali kuwakamua wafanyakazi. Ni mkopo.wa.kinyonyaji.
 
Wapiga kura wake wapo wanaokatwa hiyo 15%,lakini yeye anajiropokea anachojua yeye na sii alichotumwa na waliompigia kura.
Poor Prof.
 
Nampima, hivi Nalichako na Dr. Gwajima, yupi Nabii Tito zaidi?

View attachment 1692542

400098000899_321911.jpg


😂😂😂​
 
Back
Top Bottom