Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
Mentality ya waTanzania wengi ni kukopa bila ya kujua tutalipaje mkopo.
Hii ni mentality ya kijinga sana na ni moyo in built unaohalalisha ulaghai.
Anatoka kiongozi akijisifia kukopa mabilioni, lakini hana kabisa strategy ya namna ya kurudisha mkopo kwa vile moyoni anajua atamwomba aliyemkopesha amsamehe baada ya miaka mitano!
Nimeupenda msimamo wa China na mikopo.
Wachina wao wana msimamo kuwa usilete longo longo baada ya kula hela zetu, ama sivyo tunachukua dhamana ya mkopo.
Mbona hata mabenki yetu yanafanya vivyo?
Ukishindwa kulipa mkopo dhamana inaingia sokoni.
Sasa Serikali au wananchi wakilalamikia China, kwani hawalijui hilo?
Mkopo dawa yake ni kulipa si longolongo, China ni wakweli.
Hii ni mentality ya kijinga sana na ni moyo in built unaohalalisha ulaghai.
Anatoka kiongozi akijisifia kukopa mabilioni, lakini hana kabisa strategy ya namna ya kurudisha mkopo kwa vile moyoni anajua atamwomba aliyemkopesha amsamehe baada ya miaka mitano!
Nimeupenda msimamo wa China na mikopo.
Wachina wao wana msimamo kuwa usilete longo longo baada ya kula hela zetu, ama sivyo tunachukua dhamana ya mkopo.
Mbona hata mabenki yetu yanafanya vivyo?
Ukishindwa kulipa mkopo dhamana inaingia sokoni.
Sasa Serikali au wananchi wakilalamikia China, kwani hawalijui hilo?
Mkopo dawa yake ni kulipa si longolongo, China ni wakweli.