Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,324
- 18,478
Utaamka vipi hali atushirikishwi kwenye kukopa bali kwenye kulipaKweli , ukikopa ule mradi uliokopea lazima urudishe ule mkopo, la sivyo mtu anaiweka nchi rehani.
Wananchi tuamke.
Kukopa si vibaya ila tupange mipango vizuri ili mkopo ulipwe.
Wachina si wenda wazimu kumwaga pesa bure.