DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,458
- 99,092
Aisee,
Mnaoenda mikoani kwa shughuli mbalimbali (hasa msimu huu wa kilimo) kuweni makini Sana na mabinti/wanawake wazur mnaowatamani uko mitaani.
Wee Ni mgeni Umeenda mkoani. Unamuona binti kanona, unamtamani anakwambia hajaolewa na anaishi mwnyw. Unaridhika na majibu yake na mnaanza rasmi mahusiano.
Mihemko inakuzidia
Unajipeleka kichwa kichwa kufanya mapenzi nyumbani kwake,guest,gheto la mtu au kwny shamba house yako.
Ghafla unavamiwa na watu kibao Wana silaha za jadi, wanaongea kilugha chao na unatuhumiwa unatembea na MKE wa mtu,
Na mmoja wao anajitambulisha ndo mume wa binti yule. Na binti anakiri kweli yule Ni mumewe.
Utajitetea Sana ulikua hujui
ila husikilizwi maana hamna anaekujua wee Ni mgeni tu eneo Lile. Utachezea sana kichapo, utapekuliwa mifukoni na kulazimishwa ulipe fidia kubwa yaishie pale pale wasikudhalilishe mitaani.
Mpk unaachana nao,
Tayar ushaumia Sana kimwili,kihisia kiuchumi,kijamii na kiroho
Ukija kufuatilia kwa wenyeji,
Unaambiwa kweli yule binti ulietembea nae ni MKE wa mtu,Tena wa ndoa ya kimila kabisa
Na kibaya zaidi
Wewe Ni Kama mtu wake tatu unafumaniwa na binti yule yule na mume yule yule akiwa na kikosi kile kile kilichokupiga na kukutoza faini nzito.
Cha kushangaza,
Wanaokwambia habari hizo,
Ni wenyeji wale wale waliokua wanaona unajimwmbafai na MKE wa mtu mitaani na hawakukwambia chochote kile mpk madhila yote yamekukuta
Mnaoenda mikoani kwa shughuli mbalimbali (hasa msimu huu wa kilimo) kuweni makini Sana na mabinti/wanawake wazur mnaowatamani uko mitaani.
Wee Ni mgeni Umeenda mkoani. Unamuona binti kanona, unamtamani anakwambia hajaolewa na anaishi mwnyw. Unaridhika na majibu yake na mnaanza rasmi mahusiano.
Mihemko inakuzidia
Unajipeleka kichwa kichwa kufanya mapenzi nyumbani kwake,guest,gheto la mtu au kwny shamba house yako.
Ghafla unavamiwa na watu kibao Wana silaha za jadi, wanaongea kilugha chao na unatuhumiwa unatembea na MKE wa mtu,
Na mmoja wao anajitambulisha ndo mume wa binti yule. Na binti anakiri kweli yule Ni mumewe.
Utajitetea Sana ulikua hujui
ila husikilizwi maana hamna anaekujua wee Ni mgeni tu eneo Lile. Utachezea sana kichapo, utapekuliwa mifukoni na kulazimishwa ulipe fidia kubwa yaishie pale pale wasikudhalilishe mitaani.
Mpk unaachana nao,
Tayar ushaumia Sana kimwili,kihisia kiuchumi,kijamii na kiroho
Ukija kufuatilia kwa wenyeji,
Unaambiwa kweli yule binti ulietembea nae ni MKE wa mtu,Tena wa ndoa ya kimila kabisa
Na kibaya zaidi
Wewe Ni Kama mtu wake tatu unafumaniwa na binti yule yule na mume yule yule akiwa na kikosi kile kile kilichokupiga na kukutoza faini nzito.
Cha kushangaza,
Wanaokwambia habari hizo,
Ni wenyeji wale wale waliokua wanaona unajimwmbafai na MKE wa mtu mitaani na hawakukwambia chochote kile mpk madhila yote yamekukuta