Mikoani hakuna Traffick Light, Strabag wanaziharibu Ubungo (BRT System) kwa nini zisi

MKATA KIU

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
2,841
6,109
Wadau niaje?

Katika pilika pilika zangu za maisha nimefika mikoa tofauti ya nchi hii kubwa sana, na katika mikoa hii mingi haina Traffick light za kuongozea magari katika makutano..

Na hata Dar es salaam nyingi zimejengwa mwaka jana hasa hasa wilaya ya temeke ndipo kulikuwa hakuna kabisa na kuna sehemu mpaka leo hakuna..

Kinachonishangaza ni kitendo cha STRABAG wakishirikiana (project consultant wao SMEC ) ambazo ni kampuni kubwa za ujenzi kuliko zote zilizowahi kufika Tanzania kuharibu traffick light za ubungo, shekilango, magomeni, fire, Akiba, bila mpangilio maalumu wa kuzihamisha zikafungwe sehemu zingine zinazohitajika badala ya kuzitelekeza zikininginia ovyo ovyo..

Na je serikali hawalioni hili, au hizi lights haziruhusiwi kuwa re use.. Maana Arusha, Tanga, Moro, Mwanza kuna sehemu nyingi zinazohitaji Taa za barabarani lakini hakuna za kutosha, nazani wangeenda kuzifunga huko..

Au wadau mnaonaje?
 
Wadau niaje?

Katika pilika pilika zangu za maisha nimefika mikoa tofauti ya nchi hii kubwa sana, na katika mikoa hii mingi haina Traffick light za kuongozea magari katika makutano..

Na hata Dar es salaam nyingi zimejengwa mwaka jana hasa hasa wilaya ya temeke ndipo kulikuwa hakuna kabisa na kuna sehemu mpaka leo hakuna..

Kinachonishangaza ni kitendo cha STRABAG wakishirikiana (project consultant wao SMEC ) ambazo ni kampuni kubwa za ujenzi kuliko zote zilizowahi kufika Tanzania kuharibu traffick light za ubungo, shekilango, magomeni, fire, Akiba, bila mpangilio maalumu wa kuzihamisha zikafungwe sehemu zingine zinazohitajika badala ya kuzitelekeza zikininginia ovyo ovyo..

Na je serikali hawalioni hili, au hizi lights haziruhusiwi kuwa re use.. Maana Arusha, Tanga, Moro, Mwanza kuna sehemu nyingi zinazohitaji Taa za barabarani lakini hakuna za kutosha, nazani wangeenda kuzifunga huko..

Au wadau mnaonaje?

Hiyo si kweli.
 
Kuna sheria ya manunuzi ya mali za uma huwezi kufanya kitu kama hicho eti utoe skrepa Dar zikafungwe mkoani never na hata hapa zitakuja kufungwa nyingine mpya kabisa
 
Ujue mali yeyote iliopo barabani kwa sasa ni mali ya kampuni hiyo ya ujenzi, mpaka watakapo kabidhi. serikali wengelijua hilo wangeondoa kabla hajampa kazi huyo mjezi.
 
Strabag ni moja katika kampuni kubwa duniani za "ujenzi" lakini si "kampuni kubwa za ujenzi kuliko zote zilizowahi kufika Tanzania".

Soma hapa utazijuwa tu zilizowahi kufika kwetu kabla ya Strabag na zingine bado zipo Tanzania:

The Top 250 International Contractors | ENR: Engineering News Record | McGraw-Hill Construction

Dada mbona huweki maelezo yaliyonyooka, au umekuja tu kubishana kama ccm na chadema,, ungesema tu strabag sio kampuni kubwa iliyokuja Tanzania, ila kampuni kubwa ni xxxxx na ilifanya project xxxxx wote tungekuelewa,,

But unazunguka sana bila sababu za msingi, sema ni kampuni gani inayomzidi Strabag na SMEC nguvu iliyofika Tanzania kufanya kazi.

Kumbuka hapa tunaongelea kampuni mbili STRABAG na SMEC.. Nitajie wenye nguvu kiliko hawa wawili waliowahi kufika Tanzania kufanya kazi. Maana tumezoea kuona wachina tu toka enzi za nyerere,


Tunaomba ukweli tafadhali kwa kutaja hizo kampuni
 
Dada mbona huweki maelezo yaliyonyooka, au umekuja tu kubishana kama ccm na chadema,, ungesema tu strabag sio kampuni kubwa iliyokuja Tanzania, ila kampuni kubwa ni xxxxx na ilifanya project xxxxx wote tungekuelewa,,

But unazunguka sana bila sababu za msingi, sema ni kampuni gani inayomzidi Strabag na SMEC nguvu iliyofika Tanzania kufanya kazi.

Kumbuka hapa tunaongelea kampuni mbili STRABAG na SMEC.. Nitajie wenye nguvu kiliko hawa wawili waliowahi kufika Tanzania kufanya kazi. Maana tumezoea kuona wachina tu toka enzi za nyerere,


Tunaomba ukweli tafadhali kwa kutaja hizo kampuni

[h=1]Top Ten [/h] [h=1]Top ten: Construction companies[/h] We count down the top ten construction giants in today's markets, with the Chinese leading the charge

Tanzania: China Communications Construction

Source: Top ten: Construction companies - Construction Digital

Bouygues ya Ufaransa nayo imeshawahi kuwapo Tanzania.

Skanska nayo imeshawahi kuwapo Tanzania.

Source: Pictures: The 25 biggest contractors in the world | United Arab Emirates | Construction | ArabianIndustry.com
 
[h=1]Top Ten [/h] [h=1]Top ten: Construction companies[/h] We count down the top ten construction giants in today's markets, with the Chinese leading the charge

Tanzania: China Communications Construction

Source: Top ten: Construction companies - Construction Digital

Bouygues ya Ufaransa nayo imeshawahi kuwapo Tanzania.

Skanska nayo imeshawahi kuwapo Tanzania.

Source: Pictures: The 25 biggest contractors in the world | United Arab Emirates | Construction | ArabianIndustry.com

Walikuwepo Tanzania wanafanya project gani?

Au walikuja kujenga lumumba, jengo la chama chetu kile?
 
issue hapa sio kampuni kuwa kubwa au sio kubwa
issue hapa ni kwanini waharibu taa badala ya kuzitoa kistaarabu zikafungwe pengine
ndio point ya muhimu......

Strabag ni moja katika kampuni kubwa duniani za "ujenzi" lakini si "kampuni kubwa za ujenzi kuliko zote zilizowahi kufika Tanzania".

Soma hapa utazijuwa tu zilizowahi kufika kwetu kabla ya Strabag na zingine bado zipo Tanzania:

The Top 250 International Contractors | ENR: Engineering News Record | McGraw-Hill Construction
 
Walikuwepo Tanzania wanafanya project gani?

Au walikuja kujenga lumumba, jengo la chama chetu kile?

Kale ka eyapoti kenu unajuwa kalijengwa na nani? ukipata jibu utakuwa umesha jijibu.

Unajuwa Uwanja wenu wa Taifa kwa sasa umejengwa na kampuni gani? ukipata jibu hautoniuliza tana.

Unajuwa kabomba kenu kakupeleka mafuta kutoka Dar kwenda Zambia kalijengwa na nani? kafanye homework.
 
Wewe mkata kiu kweli ni ----- namba moja duniani,Strabag ndio wako kazini wanajenga barabara.Ni lazima kama unavyoona wabomoe ya zamani kwanza.Nguzo za umeme,mabomba ya maji taka na safi, traffic light na mengineyo lazima wabomoe kwaza ndio wajenge upya.Mh.Kata kiu naona ulikuwa unaota unaandika mada!!!.
 
Kuna sheria ya manunuzi ya mali za uma huwezi kufanya kitu kama hicho eti utoe skrepa Dar zikafungwe mkoani never na hata hapa zitakuja kufungwa nyingine mpya kabisa


Neno skrepa unalitumia vibaya, sheria inazuia kununua used items, mleta mada anaongelea kuhamisha na siyo kununua.
 
kuna watu wanpenda kubishana, yani inabdi wafunguliwe jukwaa lao la pekee, "liitwe jukwaa la ubishi" maana jukwaa la siasa peke yake haliwatoshi !
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom