Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,411
- 25,546
Arusha inaongoza kwa kuwa na mabilionea wengi kuliko mji wowote EAC
Umesema kweli tupu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Arusha inaongoza kwa kuwa na mabilionea wengi kuliko mji wowote EAC
COPY: Money Stunna.
Je wamewekeza katika nini??
mabilionea wa ukweli ni Dar na mabillionea wa uongo Arusha
Je wamewekeza katika nini??
Mabilionea wa ukweli wako Arusha, achana na wa Dar wanaouza juice. Afu Money Stunna una nini na Arusha? Let the truth prevail bhana.
Wamewekaza ktk bastola. funguo za bandia. mikopo ya ribas. siasa uchwara. dhuluma ktk madini. viwanja kufisadia ktk halmashauri haswa miradi. viungo vya binadamu miongoni mwao albino. Kuna mengi na wamejificha kama wafanyabiashara ingia ktk web s utaona mabilionea WA kiukweli. so isifananishe ubilionea na mporaji
Ni kweli kabisa.Mabilionea wa Arusha watu huwapima kwa uwezo wao wa kununulia bia,viroba na nyama choma watu kwenye kwenye vi-grocery na vi-club vya arusha wakihama hama toka ki-grocery hiki kwenda kingine.
Dar mabilionea wake wana makampuni ambayo vitabu vya hesabu zao vinakaguliwa na wakjaguzi wa kueleweka na wanalipa kodi .
Ukiangalia Ripoti za kodi mabilionea wa Arusha wako nyuma kuliko hata mikoa chovu.Kuna ripoti ya TRA ilitoka ilionyesha Arusha inaachwa hata na mikoa kama Shinyanga na MBEYA kama sikosei.Kodi kidogo ina maana mtu ana mapato kidogo.Dar es salaam wafanyabishara mabilionea wake wanaongoza kulipa kodi.Mabilionea wengi wa Arusha wakiona Afisa wa TRA anawajia wengi wanafunga maduka na ofisii na kutokomea gizani kusikojulikana!
Ubilionea wa mtu haupimwi BAR na uchangiaji michango ya Harusi na Misiba kama watu wapimavyo arusha kupima mtu kama anazo au hana.Dar wapo akina bakhresa hawajui hata bar iko wapi lakini ni mabilionea wa uhakika.
Arusha kuna "show off bilionnaires" wa kwenye mabar na sehemu za starehe.
Mabilionea wote wako Arusha..