Mikoa Ya Mbeya, Songwe , Kagera, Kigoma Hawana Vitambulisho vya Taifa Na NIDA wapo tu ofisini.

chotera

JF-Expert Member
May 19, 2016
6,305
15,031
Wakuu
Lawama tunazowapelekea TRA tuwapelekee pia NIDA wamekwamisha biashara za watanzania kwa kiwango kikubwa sana na hii sio sawa kwani wafanyabiashara na watanzania kwa sasa huwezi kupata hati ya kusafiria bila kitambulisho cha taifa , wanafunzi wanaokwenda nje kwa masomo wanaaumbuka mno, wagonjwa wanaoenda kutibiwa nje nao hati za kusafiria imekua mtihani mkubwa sana.
NIDA Jirekebisheni mnarudisha nyuma maendeleo ya nchi yetu.
 
Wakuu
Lawama tunazowapelekea TRA tuwapelekee pia NIDA wamekwamisha biashara za watanzania kwa kiwango kikubwa sana na hii sio sawa kwani wafanyabiashara na watanzania kwa sasa huwezi kupata hati ya kusafiria bila kitambulisho cha taifa , wanafunzi wanaokwenda nje kwa masomo wanaaumbuka mno, wagonjwa wanaoenda kutibiwa nje nao hati za kusafiria imekua mtihani mkubwa sana.
NIDA Jirekebisheni mnarudisha nyuma maendeleo ya nchi yetu.
Tanzania bila amri ya mh. Rais mambo hayaendi yaani NIDA wamelala mno!
 
Ni hatari, hili ni janga kubwa sana
Wakuu
Lawama tunazowapelekea TRA tuwapelekee pia NIDA wamekwamisha biashara za watanzania kwa kiwango kikubwa sana na hii sio sawa kwani wafanyabiashara na watanzania kwa sasa huwezi kupata hati ya kusafiria bila kitambulisho cha taifa , wanafunzi wanaokwenda nje kwa masomo wanaaumbuka mno, wagonjwa wanaoenda kutibiwa nje nao hati za kusafiria imekua mtihani mkubwa sana.
NIDA Jirekebisheni mnarudisha nyuma maendeleo ya nchi yetu.
 
mbeya niliandikisha mwaka jana mwez wa 5 hadi leo kimya asa sijui wanawaza nini na pasport ni mwezi huu wa saba
 
mbeya niliandikisha mwaka jana mwez wa 5 hadi leo kimya asa sijui wanawaza nini na pasport ni mwezi huu wa saba
Mimi niliandikisha mwaka juzi 2017 mpaka juzi nikiwa mbeya nilienda kwenye ofisi zao wakaniambia bado nisubiri tu,, ukiuliza nisubiri mpaka lini,, unaambiwa itatangazwa.
 
Wakuu
Lawama tunazowapelekea TRA tuwapelekee pia NIDA wamekwamisha biashara za watanzania kwa kiwango kikubwa sana na hii sio sawa kwani wafanyabiashara na watanzania kwa sasa huwezi kupata hati ya kusafiria bila kitambulisho cha taifa , wanafunzi wanaokwenda nje kwa masomo wanaaumbuka mno, wagonjwa wanaoenda kutibiwa nje nao hati za kusafiria imekua mtihani mkubwa sana.
NIDA Jirekebisheni mnarudisha nyuma maendeleo ya nchi yetu.
Nadhani hili tatizo ni la taifa (serikali), si la Nida pekee kama idara.

Haiwezekani yule mkurugenzi wa zamani na timu yake wanaendelea kuhenya na kesi za uhujumu uchumi mahakamani, aje huyu mrithi wake naye aendeleze mchezo ule ule wa kuchezea sharubu za Jpm bila woga!

Naye angelikuwa alishafukuzwa siku nyingi, tumekwishamsahau na kesi juu.

Ukimuona Jpm anaongea kipole akitetea line za mitandao ya simu zisifutwe kwa wakati uliopangwa kutokana na tatizo la vitambulisho, elewa kuna tatizo kubwa la ki'finance' kwenye idara hiyo lililosababishwa na serikali yenyewe kutowawezesha.

Vinginevyo angekuwa aliishakula vichwa!
 
Back
Top Bottom