Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,806
- 11,968
Tafiti zimeonesha mikoa ya Kanda ya Ziwa inaongoza kwa matukio ya ukatili miongoni mwa wenza kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ukosefu wa uhuru wa kiuchumi kwa wanawake na malezi.
Mikoa iliyotajwa kuathirika zaidi na ukatili ni Mara, Mwanza, Shinyanga, Simiyu na Geita wakati iliyotajwa kuwa na kiwango cha chini cha ukatili kwa wenza ni Pemba, Ukanda wa Pwani na Tanga.
Wataalamu Afya ya Akili wa Chuo cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) wamesema hayo walipokuwa katika Kongamano la Sayansi, wametaja sababu za kutokea kwa matukio hayo ni ukosefu uhuru wa kiuchumi kwa Wanawake, umasikini wa jamii, kuathirika kisaikolojia kwa wale waliopitia ukatili na aina ya malezi.
Mikoa iliyotajwa kuathirika zaidi na ukatili ni Mara, Mwanza, Shinyanga, Simiyu na Geita wakati iliyotajwa kuwa na kiwango cha chini cha ukatili kwa wenza ni Pemba, Ukanda wa Pwani na Tanga.
Wataalamu Afya ya Akili wa Chuo cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) wamesema hayo walipokuwa katika Kongamano la Sayansi, wametaja sababu za kutokea kwa matukio hayo ni ukosefu uhuru wa kiuchumi kwa Wanawake, umasikini wa jamii, kuathirika kisaikolojia kwa wale waliopitia ukatili na aina ya malezi.