brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,876
- 7,366
kwa mujibu wa ripoti ya benk kuu ya Tanzania(BOT), DSM ndo mkoa unaongoza kwa kuchangia pato la taifa.
1. Dar ess Salaam(GDP 7.5 trilion)
2. Mwanza(GDP 4.09 )
3. Mbeya(GDP3.2 trilion)
4. Shinyanga
5. Iringa
6. Morogoro
7. Arush(GDP 2.1 trilion)
8. Tanga(GDP 2.09 trilion)
9. Kilimanjaro(GDP 2.03 trilion )
swali: kwanin Arusha haipo top 3 katika mikoa tajiri kwenye kuchangia pato la taifa? Inaonekana makampuni mengi yanamilikiwa na wageni au mengi yanatoka mkoa wa DSM
source: the citizen
1. Dar ess Salaam(GDP 7.5 trilion)
2. Mwanza(GDP 4.09 )
3. Mbeya(GDP3.2 trilion)
4. Shinyanga
5. Iringa
6. Morogoro
7. Arush(GDP 2.1 trilion)
8. Tanga(GDP 2.09 trilion)
9. Kilimanjaro(GDP 2.03 trilion )
swali: kwanin Arusha haipo top 3 katika mikoa tajiri kwenye kuchangia pato la taifa? Inaonekana makampuni mengi yanamilikiwa na wageni au mengi yanatoka mkoa wa DSM
source: the citizen