Mrimi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,691
- 633
Jamani hivi kweli kuanzishwa kwa mikoa 4 mipya( Katavi,Njombe,Simiyu na Geita) kuna maana yoyote ya kuleta maendeleo kwa wananchi wa maeneo haya. Kuna maswali kadhaa ambayo nimekuwa nikijiuliza bila kupata majibu:
1) Kwani maendeleo kwa wananchi yanatoka mkoa tu?
2) Kwani vitu muhimu kama huduma za jamii na miundombinu haziwezi kupelekwa kwa wananchi mpaka pawepo na ofisi ya mkuu wa mkoa?
3) Tumejifunza nini kwa uanzishwaji wa mkoa wa Manyara,ina maana matatizo yote ya wananchi wa Manyara yamemalizwa na ofisi ya RC?
4) Kuna mikoa ya pembezoni kama vile ya kusini bado miundombina ni tatizo, kwa nini tusishughulike kumaliza matatizo haya kwanza?
5) Hivi inawezekana vipi kupata makuu kutoka Katavi ambayo imezaliwa na baba Rukwa mwenye matatizo lukuki?
Nionavyo mimi, hapa kuna kamchezo tunachezewa waungwana.
Nawasilisha....
1) Kwani maendeleo kwa wananchi yanatoka mkoa tu?
2) Kwani vitu muhimu kama huduma za jamii na miundombinu haziwezi kupelekwa kwa wananchi mpaka pawepo na ofisi ya mkuu wa mkoa?
3) Tumejifunza nini kwa uanzishwaji wa mkoa wa Manyara,ina maana matatizo yote ya wananchi wa Manyara yamemalizwa na ofisi ya RC?
4) Kuna mikoa ya pembezoni kama vile ya kusini bado miundombina ni tatizo, kwa nini tusishughulike kumaliza matatizo haya kwanza?
5) Hivi inawezekana vipi kupata makuu kutoka Katavi ambayo imezaliwa na baba Rukwa mwenye matatizo lukuki?
Nionavyo mimi, hapa kuna kamchezo tunachezewa waungwana.
Nawasilisha....