harakat
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 2,888
- 1,347
Mi najiuliza kwamba tunapozungumzia mikoa mipya upya wake ni upi hasa tukizingatia kwamba
wote tunaelewa "kitu kipya maana yake ni nini" hizi sehemu zilikuwepo toka enzi hizo leo hii zimeungwa ungwa zinaitwa mikoa mipya ili nini ?
Tunataka paitwe mkoa mpya ili tufanye kitu gani?
Nani tunataka awe mkuu wa mikoa hii na kwa sababu gani?
Kuna umuhimu gani wa kubadilishwa majina ya hizi sehemu na kupaita mikoa mipya ?
Je ni kwa nini pasiendelezwe bila kupaita mkoa mpya ?
Tumefanya nini kwa mikoa ya zamani?
Tukipaita mkoa mpya kuna nini kinapatofautisha na palivyokua awali?
Mikoa hiyo inatakiwa iwe na wilaya ngapi na wakuu wa wilaya hizo watakua kina nani na kwa nini?
wote tunaelewa "kitu kipya maana yake ni nini" hizi sehemu zilikuwepo toka enzi hizo leo hii zimeungwa ungwa zinaitwa mikoa mipya ili nini ?
Tunataka paitwe mkoa mpya ili tufanye kitu gani?
Nani tunataka awe mkuu wa mikoa hii na kwa sababu gani?
Kuna umuhimu gani wa kubadilishwa majina ya hizi sehemu na kupaita mikoa mipya ?
Je ni kwa nini pasiendelezwe bila kupaita mkoa mpya ?
Tumefanya nini kwa mikoa ya zamani?
Tukipaita mkoa mpya kuna nini kinapatofautisha na palivyokua awali?
Mikoa hiyo inatakiwa iwe na wilaya ngapi na wakuu wa wilaya hizo watakua kina nani na kwa nini?