Mikoa ambayo Wanawake wanafahamu kupika Chakula na mikoa mbayo wanawake hawafahamu kupika Chakula kizuri ni hii hapa...

Mkuu kwa Tanga hakuna ubishi, wanawake wa Tanga wanajua kupika vizuri. Hilo kwangu halina ubishi.
Ila kutofautisha mkoa wa mwanza na Mara hakuna uhalisia maana vyakula vyao hutofautiana kidogo sana,hasa mboga za majani msukuma hutumia sana karanga kama kiungo tofauti na mara.
Kwa mkoa wa mara hakuna ubishi hatuna tabia ya kuunga mboga vizuri.
 
Suala la mapishi utegemeana na asili ya jamii husika pamoja na aina vyakula vinavyotumika katika jamii hiyo
suala la mikoa inayojua kupika na isiojua umekosea mikoa yote watu wanapika vizuri Sema wewe unapendelea aina fulani ya vyakula vinavyopatikana katika mikoa uliyotaja kwamba watu wake wanajua kupika
 
Chakula kwa afya njema hasa kikiwa kizuri na hupunguza pia msongo wa mawazo
Wewe chakula unachodhani ni kitamu kumbe unakula masumu, mafuta wanayokarangazia na viungo vyote ni sumu, vinasababisha magonjwa ya moyo kisukari na upungufu wa nguvu za kiume. Fuatilia mikoa ulioitaja kuwa wanaloweka chakula uone shughuli ya jeshi katika uimbara na ufanyaji kazi wa mifumo ya ndani ya mwili. Endeleeni kukarangiziwa sisi washamba tunakula dona na mboga chukuchuku, ugali wa mtama na uwele na mihogo
 
Mkuu kwa wanawake wa Tanga nimebahatika kuishi nao maeneo tofauti lakini ni wapishi wazuri sana. Hata ukimpa chakula chako cha asili atakipika vizuri.
Suala la mapishi utegemeana na asili ya jamii husika pamoja na aina vyakula vinavyotumika katika jamii hiyo
suala la mikoa inayojua kupika na isiojua umekosea mikoa yote watu wanapika vizuri Sema wewe unapendelea aina fulani ya vyakula vinavyopatikana katika mikoa uliyotaja kwamba watu wake wanajua kupika
 
Au mzee wa MASAPTASAPTA ndiye kakwambia hivyo....?Kakudanganya.
 
Ni matatizo ya ulimi wako mkuu usituaminishe kwamba hawa wanajua kupika na hawa hawajui kupika
 
Zingatia unapo fanya tafiti...

1. Identify the Problem
2. Review the Literature
3. Clarify the Problem
4. Clearly Define Terms and Concepts
5. Define the Population
6. Develop the Instrumentation Plan
7. Collect Data
8. Analyze the Data
 
kataja mikoa mingi sana mbona, sijui kwa nini umeona wachaga tu, wakati wachaga wenyewe hawajajaza hata nusu ya mkoa wa Kilimanjaro japo ndio mkoa mdogo zaidi TZ baada ya Dar
Povu atakalo pata kutoka kwa watu wa Arusha na Kilimanjaro hautaamini macho yako
 
Kuna dada wakitanga hapa hajui kupika

Mtori
Kiburu
Kitawa
Ngararimo
Machalari
Ng'ande
Viro
Nyama choma

Sasa naweza je kusema.ni mpishi mzuri kwasababu tu akipika tembele anaweka nazi???? Unataka mtu wa arusha akuwekee nazi huo sio utamaduni wake

cuteb
Atoto
manengelo
 
Mkuu kwa wanawake wa Tanga nimebahatika kuishi nao maeneo tofauti lakini ni wapishi wazuri sana. Hata ukimpa chakula chako cha asili atakipika vizuri.
Tanga siamini kama kuna mtu atajitokeza na kusema Tanga hawajui kupika.... Wale watu kwenye swala la kupika ni namba nyingine....
 
Back
Top Bottom