- Thread starter
- #81
Unajidhalilisha kwa ulichoandikaHamna lolote, hakuna watu wanafiki kama wateja wa hiyo saccos ya Mbowe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajidhalilisha kwa ulichoandikaHamna lolote, hakuna watu wanafiki kama wateja wa hiyo saccos ya Mbowe.
Waje wapate kipigo cha mbwa kokoArusha costa za kutosha zimejaa tayari kwa safari...
Unaelewa ulichoandika au na wewe ni empty headed??Hivi hata kama tungekuwa na Rais wakijinga kama wew, je ungeweza kuweka lockdown nchi kama Tz?
Hakika amejidhalilisha sanaHii ndio sababu ya Sirro kukurupuka leo na tamko lake dhidi ya Mbowe.
Mpaka Leo saa 5 Asubuhi taarifa kutoka makao makuu ya Chadema zinasema tayari mikoa 20 ya Tanzania imethibitisha kutuma wanachama kwa gharama zao kuhudhuria kesi hiyo.Kesi ya kubambikizwa Ugaidi Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe inatarajiwa kutajwa Alhamisi August 5 Kisutu jijini DSM.
Akizungumza na wanahabari jana Jumamosi Katibu Mkuu John Mnyika aliwataka wana Chadema na wananchi kufurika Kisutu siku ya Alhamisi August 5 ili kufuatilia kwa ukaribu kesi hiyo na kuonyesha mshikamano kwa Mwenyekiti Freeman Mbowe.
Mpaka Leo saa 5 Asubuhi taarifa kutoka makao makuu ya Chadema zinasema tayari mikoa 20 ya Tanzania imethibitisha kutuma wanachama kwa gharama zao kuhudhuria kesi hiyo.
Kesi hiyo inayolaaniwa kote duniani kutokana na hila za kisiasa kumnyamazisha Freeman Mbowe inaonekana kuvuta hisia za kila mpenda haki.
Hali inavyoonekana huenda zaidi ya watu elfu 5 wakahudhuria kesi hiyo kitendo ambacho kitazidi kuvuta hisia za Dunia.
Vyombo kadhaa vikubwa vya Habari Duniani Kama BBC, CNN, DW, Aljazeera, na VOA vimekuwa vikifuatilia na kutangaza Mara kwa Mara habari hizi za uonevu wa dola dhidi ya Mbowe.
Freeman Mbowe alibambikwa kesi ya Ugaidi ili kumdhibiti kutokana na kampeni yake ya kudai Katiba Mpya.Jambo lililo wazi ni kwamba kila mtu ndani na nje ya nchi anaelewa kesi hii ni ya uongo na isiyo na maana yoyote yenye Lengo la kumdhibiti Demokrasia nchini.
Updates Jumatatu 2 August
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Saimon Sirro Leo ameitisha Mkutano wa wanahabari na kuonya kile alichosema mpango wa CDM kupanga kuhudhuria kesi ya Mbowe Kisutu Alhamisi.
Huku akionekana kuwa na chuki ya ndani kwa kile wananchi kulaani Mbowe kubambikizwa kesi ya Ugaidi, IGP Sirro amesema Mbowe ana makosa makubwa Sana ya kufanya Ugaidi na kulipua vituo vya mafuta.IGP huyo ameenda mbali zaidi na kuonya wale wote wanaosema Mbowe anaonewa akidai wanaingilia Uhuru wa Mahakama huku yeye mwenyewe akimhukumu Mbowe kwamba ni Gaidi
KAHABA wa feri katika majukumu yake.Mama anatumika vibaya
Ukiona mtu anakimbilia matusi basi jia hapo hoja zimemwishiaUnaelewa ulichoandika au na wewe ni empty headed??
Na kuna wengine tumeshauliwa kama kweli Mbowe anamuamini Mungu atuambie ukweli sasa siku nzuri ya kutuambia ukweli ni hiyo tarehe 05.08...watanzania tujitokeze kwa wingi, gaidi asiekuwa na silaha akatuambie ukweli twendeni mahakamani tarehe hiyo..Hiyo tarehe 5 watatofautishwaje wanaoenda kwenye kesi zao, na sisi tunaoenda kwa Freeman??!! Au wote tutachakazwa....
Kijani wenyewe hawapati corona,au tuseme wanawajali Sana Chadema,mawazo yako tasafali ndugu mujumbe.Mkuu,kama una akili uelewe basi.
Nchi inakumbwa na Corona.
Watu wanataka kukusanyika, halafu unakuja na hoja eti mbona CCM wanakusanyika.
Wakati wa Magufuli anasema Corona haipo Tanzania si hao hao CHADEMA walisema nchi iwekwe'lockdown'??
Au CORONA hii ya sasa haina madhara?
Asitafu kwa hiari kulinda heshima ya uzee,kabla haijaharibika yote.Zero anaapa kwa Mungu kuwa anaushahidi lakini aliapa pia kwa MO na kutuonyesha picha za gari ya watekaji mpaka leo kimya, huyu mzee nimshauri asitafu tu...
Na unafurahia ila uzuri kwenye Tozo tunakatwa wote, bei za mafutavyakipanda tunaumia wote pumbavuWaje wapate kipigo cha mbwa koko
Sidhani kama watakutanika chadema ya sasa ni yamatamko kuliko vitendo.Kesi ya kubambikizwa Ugaidi Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe inatarajiwa kutajwa Alhamisi August 5 Kisutu jijini DSM.
Akizungumza na wanahabari jana Jumamosi Katibu Mkuu John Mnyika aliwataka wana Chadema na wananchi kufurika Kisutu siku ya Alhamisi August 5 ili kufuatilia kwa ukaribu kesi hiyo na kuonyesha mshikamano kwa Mwenyekiti Freeman Mbowe.
Mpaka Leo saa 5 Asubuhi taarifa kutoka makao makuu ya Chadema zinasema tayari mikoa 20 ya Tanzania imethibitisha kutuma wanachama kwa gharama zao kuhudhuria kesi hiyo.
Kesi hiyo inayolaaniwa kote duniani kutokana na hila za kisiasa kumnyamazisha Freeman Mbowe inaonekana kuvuta hisia za kila mpenda haki.
Hali inavyoonekana huenda zaidi ya watu elfu 5 wakahudhuria kesi hiyo kitendo ambacho kitazidi kuvuta hisia za Dunia.
Vyombo kadhaa vikubwa vya Habari Duniani Kama BBC, CNN, DW, Aljazeera, na VOA vimekuwa vikifuatilia na kutangaza Mara kwa Mara habari hizi za uonevu wa dola dhidi ya Mbowe.
Freeman Mbowe alibambikwa kesi ya Ugaidi ili kumdhibiti kutokana na kampeni yake ya kudai Katiba Mpya.Jambo lililo wazi ni kwamba kila mtu ndani na nje ya nchi anaelewa kesi hii ni ya uongo na isiyo na maana yoyote yenye Lengo la kumdhibiti Demokrasia nchini.
Updates Jumatatu 2 August
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Saimon Sirro Leo ameitisha Mkutano wa wanahabari na kuonya kile alichosema mpango wa CDM kupanga kuhudhuria kesi ya Mbowe Kisutu Alhamisi.
Huku akionekana kuwa na chuki ya ndani kwa kile wananchi kulaani Mbowe kubambikizwa kesi ya Ugaidi, IGP Sirro amesema Mbowe ana makosa makubwa Sana ya kufanya Ugaidi na kulipua vituo vya mafuta.IGP huyo ameenda mbali zaidi na kuonya wale wote wanaosema Mbowe anaonewa akidai wanaingilia Uhuru wa Mahakama huku yeye mwenyewe akimhukumu Mbowe kwamba ni Gaidi
Pole sanaSidhani kama watakutanika chadema ya sasa ni yamatamko kuliko vitendo.