johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,560
Hapo kwenye Covid registrations ndio sijakuelewa manka!Lakini kupokea ndege airport huwa Covid registrations zinalegezwa kidogo au kusahaulika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kwenye Covid registrations ndio sijakuelewa manka!Lakini kupokea ndege airport huwa Covid registrations zinalegezwa kidogo au kusahaulika.
Mkuu,kama una akili uelewe basi.Kwahiyo chadema wasikusanyike ila ccm ni ruksa kukusanyika?
CCM na serikali wanawatumia POLICE POLICE wa Tanzania kutesa RAIA wema wa Taifa hili.Ukatili wao ni zaidi ya POLICE wa Makaburu au wakoloni wenyewe.Uhuru wa Tanzania ulikuwa ni kuondoka kwa Wazungu/Waingereza na kutawaliwa na wakoloni weusi wenzetu.Haki ipo wapi?Kesi ya kubambikizwa Ugaidi Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe inatarajiwa kutajwa Alhamisi August 5 Kisutu jijini DSM.
Akizungumza na wanahabari jana Jumamosi Katibu Mkuu John Mnyika aliwataka wana Chadema na wananchi kufurika Kisutu siku ya Alhamisi August 5 ili kufuatilia kwa ukaribu kesi hiyo na kuonyesha mshikamano kwa Mwenyekiti Freeman Mbowe.
Mpaka Leo saa 5 Asubuhi taarifa kutoka makao makuu ya Chadema zinasema tayari mikoa 20 ya Tanzania imethibitisha kutuma wanachama kwa gharama zao kuhudhuria kesi hiyo.
Kesi hiyo inayolaaniwa kote duniani kutokana na hila za kisiasa kumnyamazisha Freeman Mbowe inaonekana kuvuta hisia za kila mpenda haki.
Hali inavyoonekana huenda zaidi ya watu elfu 5 wakahudhuria kesi hiyo kitendo ambacho kitazidi kuvuta hisia za Dunia.
Vyombo kadhaa vikubwa vya Habari Duniani Kama BBC, CNN, DW, Aljazeera, na VOA vimekuwa vikifuatilia na kutangaza Mara kwa Mara habari hizi za uonevu wa dola dhidi ya Mbowe.
Freeman Mbowe alibambikwa kesi ya Ugaidi ili kumdhibiti kutokana na kampeni yake ya kudai Katiba Mpya.Jambo lililo wazi ni kwamba kila mtu ndani na nje ya nchi anaelewa kesi hii ni ya uongo na isiyo na maana yoyote yenye Lengo la kumdhibiti Demokrasia nchini.
Karibu sana jukwaani kamandaKwahiyo chadema wasikusanyike ila ccm ni ruksa kukusanyika?
Nilimaanisha regulationsHapo kwenye Covid registrations ndio sijakuelewa manka!
Basi tuwekwe lockdown?Corona hairuhusu misongamano bwashee!
Mungu ni mwema wakati wote!Nilimaanisha regulations
Inaruhusu Jogging hadi ya wazee?Tulichokiona Jana Dodoma kinatosha.UVIKO-19 ni ugonjwa wa mlipuko na hauletwi na wana CDM.Corona hairuhusu misongamano bwashee!
Ni wakati wa jino kwa jinoRestrictions
Wakimalizana na Mahakama kongamano la Katiba linaendelea Mwanza.It's a matter of time.Kwa hiyo makongamano ya katiba mpya nchi nzima yameishia hapo Kwa sasa?
Asante sanaWakimalizana na Mahakama kongamano la Katiba linaendelea Mwanza.It's a matter of time.
Inakuwepo lakini sio kivileLakini kupokea ndege airport huwa Covid regulations zinalegezwa kidogo au kusahaulika.
Leo kuna Mechi za Kagame cup, Yanga ipo uwanjani na mashabiki tunajazana kama kawaida. Hiyo Covid ni kwa Mbowe tu?Mida hii ya Covid 19??
Kuweni serious kidogo
Mbowe sio aina za hao wanasiasa uchwara na malayamalaya!Hehehehehehe siasa za Tanzania leo mnampigania mwanasiasa fulan watu wanapata ulemavu wanakufa dakika ya mwisho mwanasiasa huyohuyo anaishia kuunga juhudi
All in all kila kheri kamanda mbowe watanzania wanakusaliti sana ingekua nchi zingine sitaki kusema ingekuwaje
Kesi ya kubambikizwa Ugaidi Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe inatarajiwa kutajwa Alhamisi August 5 Kisutu jijini DSM.
Akizungumza na wanahabari jana Jumamosi Katibu Mkuu John Mnyika aliwataka wana Chadema na wananchi kufurika Kisutu siku ya Alhamisi August 5 ili kufuatilia kwa ukaribu kesi hiyo na kuonyesha mshikamano kwa Mwenyekiti Freeman Mbowe.
Mpaka Leo saa 5 Asubuhi taarifa kutoka makao makuu ya Chadema zinasema tayari mikoa 20 ya Tanzania imethibitisha kutuma wanachama kwa gharama zao kuhudhuria kesi hiyo.
Kesi hiyo inayolaaniwa kote duniani kutokana na hila za kisiasa kumnyamazisha Freeman Mbowe inaonekana kuvuta hisia za kila mpenda haki.
Hali inavyoonekana huenda zaidi ya watu elfu 5 wakahudhuria kesi hiyo kitendo ambacho kitazidi kuvuta hisia za Dunia.
Vyombo kadhaa vikubwa vya Habari Duniani Kama BBC, CNN, DW, Aljazeera, na VOA vimekuwa vikifuatilia na kutangaza Mara kwa Mara habari hizi za uonevu wa dola dhidi ya Mbowe.
Freeman Mbowe alibambikwa kesi ya Ugaidi ili kumdhibiti kutokana na kampeni yake ya kudai Katiba Mpya.Jambo lililo wazi ni kwamba kila mtu ndani na nje ya nchi anaelewa kesi hii ni ya uongo na isiyo na maana yoyote yenye Lengo la kumdhibiti Demokrasia nchini.
Makubwa Sana sanaSiasa za bongo utasikia wamesogeza mbele kesi. Nilishasema serikali wamefanya makosa makubwa kumshitaki Mbowe
Mbowe atashitakiwa kama mtanzania yeyote, hana uspesho wowoteSiasa za bongo utasikia wamesogeza mbele kesi. Nilishasema serikali wamefanya makosa makubwa kumshitaki Mbowe