Mikindani Mtwara: Wafanyabiashara wadaiwa kukimbia soko lililojengwa kwa billion 5 kwa kukosa wateja

Lady Mwali

Senior Member
Nov 15, 2018
147
332
Wafanyabiashara hao wameamua kuondoka kutoka katika soko hilo kwa kukosa wateja hali iliyopelekea biashara kuwa ngumu.

Wafanyabiashara hao hawajui watalipa vipi madeni wanaodaiwa na taasisi mbalimbali za fedha.

Ikumbukwe soko hilo limejengwa na serikali kwa gharama ya shilingi bilioni 5. Pesa hizi ni za walipa kodi. Serikali haijafanya uchunguzi wa eneo hili kama lina wateja wa kutosha.

Wasafi Radio.

Screenshot_20211004-190804~2.png
 
Ndugu Chris mara nyingi bidhaa za wamachinga wanunuzi wake ni wapita njia au abiria,hivi inaingia akilini mtu upande ghorofani ukanunue pamba za kusafisha masikio au soksi pea moja?

Kwa kawaida hata mimi nanunua bidhaa kwa machinga pale ninapikutana nao barabarani au nikiwa kwenye stendi ya basi au foleni ya magari.

Maana vitu vingi tunavyonunua kwa machinga maamuzi tunafanya papo kwa papo na si kuwafata mae eo yao.Machinga anamfata mteja na sio mteja kumfata machinga.
 
Wafanyabiashara hao wameamua kuondoka kutoka katika soko hilo kwa kukosa wateja hali iliyopelekea biashara kuwa ngumu.

Wafanyabiashara hao hawajui watalipa vipi madeni wanaodaiwa na taasisi mbalimbali za fedha.

Ikumbukwe soko hilo limejengwa na serikali kwa gharama ya shilingi bilioni 5.
Pesa hizi ni za walipa kodi.
Serikali haijafanya uchunguzi wa eneo hili kama lina wateja wa kutosha.

Wasafi Radio.

View attachment 1962836
Miradi ya Mwendazake hiyo,ndio maana Rais kawapiga marufuku kujenga huu upuuzi.
 
Back
Top Bottom