MKEHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 713
- 1,136
Kwa yanayotokea Marekani hasa baada ya Trump kushika uongozi unaweza kabisa kuyalinganisha na yalitokea Russia mwishoni mwa miaka 80 na mwanzoni mwa miaka 90. Inasemekana Marekani ilimwandaa Gorbachev kuwa kibaraka wao kwa Urusi ili Marekani iweze kuishinda Urusi katika mambo yake.
Na kweli baadae Russia ilipitia mabadiliko makubwa ya kijamii, kiuchumi, kisiasa. Hatimaye USSR ikaanguka na kumeguka ikawa vipande vipande na huo ukawa ushindi mkubwa sana kwa USA kwani USSR kabla ya kumeguka ilikuwa tishio kubwa sana kwa Marekani na washirika wake wa Magharibi na NATO.
Sasa kwa kinachoendelea Marekani hasa tukio la jana la wafuasi wa Trump kuvamia bunge wakati likimuidhinisha Joe Biden kuwa rais wa Marekani ni kiashiria kibaya sana katika mstakabali wa Marekani.
Inawezekana sana pengine China walimuandaa Trump kwa muda mrefu ili aje kuivuga Marekani nao waweze ku take over. Kuna uwezekano mkubwa sana mvulugano huo wa Marekani ukawa ndio chanzo cha Dola ya Marekani kuanguka maana inaonekana mpaka katiba yao imeshindwa kutoa majibu ya nini kifanyike kwa wakati huu nchi ikiwa kwenye mtanzio na viongozi wa usalama wakiwa wana resign. Huu unaweza kuwa mwanzo mpya wa China kuwa SUPERPOWER wa ulimwengu.
Na kweli baadae Russia ilipitia mabadiliko makubwa ya kijamii, kiuchumi, kisiasa. Hatimaye USSR ikaanguka na kumeguka ikawa vipande vipande na huo ukawa ushindi mkubwa sana kwa USA kwani USSR kabla ya kumeguka ilikuwa tishio kubwa sana kwa Marekani na washirika wake wa Magharibi na NATO.
Sasa kwa kinachoendelea Marekani hasa tukio la jana la wafuasi wa Trump kuvamia bunge wakati likimuidhinisha Joe Biden kuwa rais wa Marekani ni kiashiria kibaya sana katika mstakabali wa Marekani.
Inawezekana sana pengine China walimuandaa Trump kwa muda mrefu ili aje kuivuga Marekani nao waweze ku take over. Kuna uwezekano mkubwa sana mvulugano huo wa Marekani ukawa ndio chanzo cha Dola ya Marekani kuanguka maana inaonekana mpaka katiba yao imeshindwa kutoa majibu ya nini kifanyike kwa wakati huu nchi ikiwa kwenye mtanzio na viongozi wa usalama wakiwa wana resign. Huu unaweza kuwa mwanzo mpya wa China kuwa SUPERPOWER wa ulimwengu.