Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,608
- 218,024
- Thread starter
- #21
😆😆😆Mpaka Bentford?
😆😆😆Mpaka Bentford?
Naona kapewa mechi nyingi sana !Zimebaki 4 tu.
Si kweliTatizo la Arsenal ni zaidi ya Arteta
Si kweli
Sijawahi kushabikia hiyo timu , isipokuwa nasikitikia nguvu ambazo Wenger alipoteza kuiweka timu hii juuDuh! wewe unaonekanwa ni mshabiki wa Arsenal na hayo ndio matatizo yenu, nimapana sana kwa kweli
Wenger ni mmoja katika waliochangia anguko la hii timuSijawahi kushabikia hiyo timu , isipokuwa nasikitikia nguvu ambazo Wenger alipoteza kuiweka timu hii juu
basi sawaWenger ni mmoja katika waliochangia anguko la hii timu
Mechi tano baada ya vipigo. Wangempaje mechi tano kabla ya ligi kuanza, kwani alikuwa amepata matokeo gani mabaya ndiyo wampe tano.Tano kuanzia Leo au toka ligi ianze?kama toka ligi ianze ni kama kapewa mechi mbili 2 tu yaani hizo zitakazokuja baada ya kipigo cha city
Sina Imani na wawekezaji wa hii timu yangu ya Arsenal
Matajiri ya mafuta Uarabuni Wameonesha nia ya kuinunua hii timu ambao ni kaka zake na mwekezaji wa PSG
Daniel Ek bilionea wa kampuni ya sportify hadi kesho ana nia ya kununua timu hii ya Arsenal
Kroenke family waache ubinafsi na mafanikio yao binafsi na kuisahau hii timu na kama wanaona wanashindwa basi wakubali moja ya bids ambazo zimewekwa na moja ya hao matajiri walionesha nia
Daaah! Hali ni mbaya sana mkuuWe jamaa unechagua fungu baya sana huku utopolo kule arse8 huu mwaka ukiisha salama kachinje beberu
Sina Imani na wawekezaji wa hii timu yangu ya Arsenal
Matajiri ya mafuta Uarabuni Wameonesha nia ya kuinunua hii timu ambao ni kaka zake na mwekezaji wa PSG
Daniel Ek bilionea wa kampuni ya sportify hadi kesho ana nia ya kununua timu hii ya Arsenal
Kroenke family waache ubinafsi na mafanikio yao binafsi na kuisahau hii timu na kama wanaona wanashindwa basi wakubali moja ya bids ambazo zimewekwa na moja ya hao matajiri walionesha nia
Yaani wale Kroenke family furaha yao ni kuona timu inafanya vibaya, Wasengelema waleHata Dangote aliwahi kuonyesha nia ya kuimiliki Arsenal wamiliki wakazingua.
😆😆😆Yaani wale Kroenke family furaha yao ni kuona timu inafanya vibaya, Wasengelema wale
5 nyingi tukipigwa zote utakuwa ungese, ubora gani alionao mpaka ajaribiwe tena?Taarifa kutoka bodi ya Wakurugenzi ya Arsenal inasema kwamba Kocha mbovu wa timu hiyo Arteta amepewa mechi 5 tu za kuthibitisha ubora wake kabla hajatupiwa mfuko wake wa Rambo.
Hii maana yake mwisho wake ni october 2021 , ambapo Antonio Conte anatajwa kuchukua nafasi yake
Daily Telegraph.
Yaani pale kwenye team pamejaa usengelema5 nyingi tukipigwa zote utakuwa ungese, ubora gani alionao mpaka ajaribiwe tena?
Yaani wewe ndio unamsikitikia Wenger? au bas...kwan mechi zimebaki ngapi?Sijawahi kushabikia hiyo timu , isipokuwa nasikitikia nguvu ambazo Wenger alipoteza kuiweka timu hii juu