Mikel Arteta apewa mechi 5 tu kabla hajatimuliwa

Duh! wewe unaonekanwa ni mshabiki wa Arsenal na hayo ndio matatizo yenu, nimapana sana kwa kweli
Sijawahi kushabikia hiyo timu , isipokuwa nasikitikia nguvu ambazo Wenger alipoteza kuiweka timu hii juu
 
Sina Imani na wawekezaji wa hii timu yangu ya Arsenal

Matajiri ya mafuta Uarabuni Wameonesha nia ya kuinunua hii timu ambao ni kaka zake na mwekezaji wa PSG

Daniel Ek bilionea wa kampuni ya sportify hadi kesho ana nia ya kununua timu hii ya Arsenal

Kroenke family waache ubinafsi na mafanikio yao binafsi na kuisahau hii timu na kama wanaona wanashindwa basi wakubali moja ya bids ambazo zimewekwa na moja ya hao matajiri walionesha nia
 
Tano kuanzia Leo au toka ligi ianze?kama toka ligi ianze ni kama kapewa mechi mbili 2 tu yaani hizo zitakazokuja baada ya kipigo cha city
Mechi tano baada ya vipigo. Wangempaje mechi tano kabla ya ligi kuanza, kwani alikuwa amepata matokeo gani mabaya ndiyo wampe tano.
 
Sina Imani na wawekezaji wa hii timu yangu ya Arsenal

Matajiri ya mafuta Uarabuni Wameonesha nia ya kuinunua hii timu ambao ni kaka zake na mwekezaji wa PSG

Daniel Ek bilionea wa kampuni ya sportify hadi kesho ana nia ya kununua timu hii ya Arsenal

Kroenke family waache ubinafsi na mafanikio yao binafsi na kuisahau hii timu na kama wanaona wanashindwa basi wakubali moja ya bids ambazo zimewekwa na moja ya hao matajiri walionesha nia

We jamaa unechagua fungu baya sana huku utopolo kule arse8 huu mwaka ukiisha salama kachinje beberu
 
Sina Imani na wawekezaji wa hii timu yangu ya Arsenal

Matajiri ya mafuta Uarabuni Wameonesha nia ya kuinunua hii timu ambao ni kaka zake na mwekezaji wa PSG

Daniel Ek bilionea wa kampuni ya sportify hadi kesho ana nia ya kununua timu hii ya Arsenal

Kroenke family waache ubinafsi na mafanikio yao binafsi na kuisahau hii timu na kama wanaona wanashindwa basi wakubali moja ya bids ambazo zimewekwa na moja ya hao matajiri walionesha nia

Hata Dangote aliwahi kuonyesha nia ya kuimiliki Arsenal wamiliki wakazingua.
 
Taarifa kutoka bodi ya Wakurugenzi ya Arsenal inasema kwamba Kocha mbovu wa timu hiyo Arteta amepewa mechi 5 tu za kuthibitisha ubora wake kabla hajatupiwa mfuko wake wa Rambo.

Hii maana yake mwisho wake ni october 2021 , ambapo Antonio Conte anatajwa kuchukua nafasi yake

Daily Telegraph.
5 nyingi tukipigwa zote utakuwa ungese, ubora gani alionao mpaka ajaribiwe tena?
 
Mkuu, Arteta tumpe mechi ngapi?

Kwa sasa acha aendelee kuzifunga hizi timu ndogo.

Mwakani tunawageukia wakubwa wenzetu na kuchukua ubingwa..hahahaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom