JGGM
Member
- Sep 26, 2021
- 12
- 45
Ungeachwa wewe ungeaza kulalamika kuwa utumishi hawafai, leo mmeitwa wote wenye vigezo cha ajabu unalalamika wameitwa wengi. Ulitaka aachwe nani wakati wote wanavigezo6000+ kwa nafasi 10
This is too much
Ungeachwa wewe ungeaza kulalamika kuwa utumishi hawafai, leo mmeitwa wote wenye vigezo cha ajabu unalalamika wameitwa wengi. Ulitaka aachwe nani wakati wote wanavigezo6000+ kwa nafasi 10
This is too much
Teh teh teh....umenikumbusha mbali aisee.....Usisahau pia na forced labour na land alienation mkuu.
Vietnam.it handles large vessels due to large area( unaweza danganya over 2500 acres )
. Availability of good infrastructure. e.g railway network across the cities and towns .( Bangkok na majiji mengine kama Kuala Lumpur na Vietnam..
Hizo vipi nimepata ???
Ajira za Tamisemi, wizara ya Afya watu wanabebwa Sana tu, na interview hakunaUtapigwaje kiboyahivyo.
Sasa hivi kumebanwa hakuna mtu anayeweza kumpa mtu kazi. Ma spy kibao hata waziri hawezi.
Labda utie hela upewe written interview ila sio kazi.
Chukua hii for next time
Umeongea ukweli mkuuKumbuka kwenye mkusanyiko mkubwa vile wote lengo lenu NI MOJA yan kazi. Shika haya
1.Yan piga ua kwenye mkusanyiko mkubwa hvyo huwakosi wachawi, yan wanatumia ushirikina kupata kitu wengi watalala makuburini ili tu wapate hii kazi.( ili kundi ni wengi mno)
2. Kuna wengine watafunga kwa maombi mazito mno! Ni mwendo wa maji tu na kumlilia Mungu amkumbuke coz tumaini lake ni kwake tu. Apa lazma wese la mwamposa lihusike au lile la safina, pia visomo kwa mashekhs ni uwakika (usiende kizembe kama huwezi uchawi kaa kwenye ili kundi)
3. Wengine wana uwezo mkubwa sana darasani yaan kujibu mtihani kwao ni ishu ndogo sana(Vipanga) hawa ni moto wa kuotea mbali.
4. Wengne wana bahati sanaa + mvuto na hawa ata kama wana uwezo wa wastani laxma wamek kweny list mazee
5. Wengne hawana vyote hivi lakin ni hard workers watatumia nguvu kubwa sana adi kieleweke
Sasa kudeal na aina ya watu niliowataja hapo juu, ukiwa viungani pale dom be cool, acha kusumbua watu na kujifanya unajua sanaa .
Pamoja mkuuUmeongea ukweli mkuu
Huna baya na mtu.
Imani tu ndio itaponya
Ukweli mtupuKumbuka kwenye mkusanyiko mkubwa vile wote lengo lenu NI MOJA yan kazi. Shika haya
1.Yan piga ua kwenye mkusanyiko mkubwa hvyo huwakosi wachawi, yan wanatumia ushirikina kupata kitu wengi watalala makuburini ili tu wapate hii kazi.( ili kundi ni wengi mno)
2. Kuna wengine watafunga kwa maombi mazito mno! Ni mwendo wa maji tu na kumlilia Mungu amkumbuke coz tumaini lake ni kwake tu. Apa lazma wese la mwamposa lihusike au lile la safina, pia visomo kwa mashekhs ni uwakika (usiende kizembe kama huwezi uchawi kaa kwenye ili kundi)
3. Wengine wana uwezo mkubwa sana darasani yaan kujibu mtihani kwao ni ishu ndogo sana(Vipanga) hawa ni moto wa kuotea mbali.
4. Wengne wana bahati sanaa + mvuto na hawa ata kama wana uwezo wa wastani laxma wamek kweny list mazee
5. Wengne hawana vyote hivi lakin ni hard workers watatumia nguvu kubwa sana adi kieleweke
Sasa kudeal na aina ya watu niliowataja hapo juu, ukiwa viungani pale dom be cool, acha kusumbua watu na kujifanya unajua sanaa .
Hata mkiitwa laki moja wewe hakikisha umejiandaa vyema yakung'ute maswali then kaa zako tulia.Ulitaka uitwe peke yako siku hizi ni survival for the fittest
Yaani kupata pepa ni possible?Utapigwaje kiboyahivyo.
Sasa hivi kumebanwa hakuna mtu anayeweza kumpa mtu kazi. Ma spy kibao hata waziri hawezi.
Labda utie hela upewe written interview ila sio kazi.
Chukua hii for next time
Heshima yakoKumbuka kwenye mkusanyiko mkubwa vile wote lengo lenu NI MOJA yan kazi. Shika haya
1.Yan piga ua kwenye mkusanyiko mkubwa hvyo huwakosi wachawi, yan wanatumia ushirikina kupata kitu wengi watalala makuburini ili tu wapate hii kazi.( ili kundi ni wengi mno)
2. Kuna wengine watafunga kwa maombi mazito mno! Ni mwendo wa maji tu na kumlilia Mungu amkumbuke coz tumaini lake ni kwake tu. Apa lazma wese la mwamposa lihusike au lile la safina, pia visomo kwa mashekhs ni uwakika (usiende kizembe kama huwezi uchawi kaa kwenye ili kundi)
3. Wengine wana uwezo mkubwa sana darasani yaan kujibu mtihani kwao ni ishu ndogo sana(Vipanga) hawa ni moto wa kuotea mbali.
4. Wengne wana bahati sanaa + mvuto na hawa ata kama wana uwezo wa wastani laxma wamek kweny list mazee
5. Wengne hawana vyote hivi lakin ni hard workers watatumia nguvu kubwa sana adi kieleweke
Sasa kudeal na aina ya watu niliowataja hapo juu, ukiwa viungani pale dom be cool, acha kusumbua watu na kujifanya unajua sanaa .
Ndio maana yakeYaani kupata pepa ni possible?
Tupe ujanjaNdio maana yake
Ukweli Mchungu ni kwamba nafasi zinazotolewa na serikali kupitia utumishi ni chache kulinganisha na waombaji, generally kila mtu ana fit-in hizi interview ni sehemu tu ya kupunguza watu.Hii tume inajipoteza heshima yake sasa why wanakuwa hivi siku hizi?
Kuna kitu hakipo sawa mahali inabidi mabadiliko makubwa yafanyike kwenye hii tume watoto wa maskini wanateseka bila sababu.
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us