Dola Iddy Wa Chelsea
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 2,114
- 1,485
Q.p.r na swansea umbwa kabisa hawa
Mkuu msaada ikituma nitag
Mpe tu mkuu,Kagera hachomoki kwa Simba leoWakubwa leo Simba vp? Nataka nimpe 150k
Usibet kwa kuangalia eti timu imepoteza game fulani leo itashida?? MAN U aliwahi kukosa ushindi kwenye game 5 mfulululiza sembuse Sinba?? Simba hii ni mbovu, Mpe DC KAGERA au DW Kagera utakuja kunishukuru.Mpe tu mkuu,Kagera hachomoki kwa Simba leo
Mkuu wewe ni Yanga lia lia au? 😂😂😂😂Usibet kwa kuangalia eti timu imepoteza game fulani leo itashida?? MAN U aliwahi kukosa ushindi kwenye game 5 mfulululiza sembuse Sinba?? Simba hii ni mbovu, Mpe DC KAGERA au DW Kagera utakuja kunishukuru.
Mkuu wewe ni Yanga lia lia au?
Nauliza tu
Mkuu mbele ya “kanji” kulia na kucheka yote ni makelele tu, sio odd 2 wala 1.2 yaani ni kama uchawi vileNi ngumu sana japo sijawahi kujaribu, na hâta nikisema nijaribu nilifanikiwa kufikisha 500k tu siwezi kustake nzima .
Rollover ya odds 2 ni bora kwasababu inachukua muda kidogo kuliko ile ya odds 1.2
Mm huwa naagalia game zinavyonekana mkuu, msimamo wa Ligi na Timu zinapokutana. Mara nyingi sibet timu za BONGO, nikibet ni kujifurahisha.Mkuu wewe ni Yanga lia lia au?
Nauliza tu
Na wewe mkuu huoni unatumia historia hiyo hiyo kuihukumu Simba??Mm huwa naagalia game zinavyonekana mkuu, msimamo wa Ligi na Timu zinapokutana. Mara nyingi sibet timu za BONGO, nikibet ni kujifurahisha.
Mnabet sana kwa mapenzi, hali hii imekosesha watu wengi pesa wakiamini BARCA, MAN U, ARSENAL, AC MILAN watakaa sawa next game na bado vichapo viakendelea. Hali hii inatokea kwa Simba msimu huu wengi mtaliwa sana kwa kuamini ile timu ni nzuri wakati unaona wazi ni mbovu, na ikikutana na timu inayotumia nguvu kiasi basi matokeo huwa magumu kwao.
Ningebet ile serious HOME TEAM Over 0.5. Nawe nakushauri weka HOME TEAM over O.5 utapata pesa. DW Kwa Simba ni Ngumu na kwa Kagera ni Ngumu zaidi.
Mhh cheki ktk TOTAL GOAL RANGES..Hakuna mzeee ndio nimetoka cheki now
Nilisema hapa nikatukanwa sana na kuonekana mnazi.Mm huwa naagalia game zinavyonekana mkuu, msimamo wa Ligi na Timu zinapokutana. Mara nyingi sibet timu za BONGO, nikibet ni kujifurahisha.
Mnabet sana kwa mapenzi, hali hii imekosesha watu wengi pesa wakiamini BARCA, MAN U, ARSENAL, AC MILAN watakaa sawa next game na bado vichapo viakendelea. Hali hii inatokea kwa Simba msimu huu wengi mtaliwa sana kwa kuamini ile timu ni nzuri wakati unaona wazi ni mbovu, na ikikutana na timu inayotumia nguvu kiasi basi matokeo huwa magumu kwao.
Ningebet ile serious HOME TEAM Over 0.5. Nawe nakushauri weka HOME TEAM over O.5 utapata pesa. DW Kwa Simba ni Ngumu na kwa Kagera ni Ngumu zaidi.
Sio mchezo kaka..wengi tulijua japo angetoa suluhu.Simba inaenda kuliza kijiji
Dream it possibleNdoto, Ndoto, Ndoto Ndoto. Inaweza kuwa kweli au sio kweli. Wakuu nimeoteshwa kupata 800k kwa 250 tu. View attachment 2095971