Wakipekee
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 5,353
- 9,215
Hii ndio maana halisi ya bahati...
Hii ndio maana halisi ya bahati...
Mtu anawatukana mamba huku anausogelea mto avuke ng'ambo.Nimecheka kama mazuri vile ๐๐๐
Mtu anawatukana mamba huku anausogelea mto avuke ng'ambo.
๐๐๐๐๐๐๐.
Imenitokea juzi now sna ht 10Ngoja niwalipe mafundi site, kinachobaki nikipeleke kwa boss wangu kanji, maana hamna namna.View attachment 2094209
Wakuu, Banda langu limeungua karume. Mimi sina bahati na betslip zangu. Nnazoshinda mara nyingi huzitoa hapa jukwaani
Nisaidieni Odds 5. Lengo nistake 5000. Malengo yangu jioni nitie mfukoni 2500. Mkeka ukichanika ajali kazini. "Kejeli sihitaji"
Thanks Joanah. Haina kufeliTujaribu hii
3DD0F4A
Weka mchepuko lakini mbupu usiweke
Mi niliweka ila kuna wasenge wengine wamechana.
Sorry wakubw zang nlikuwa lebour mke wang alkuwa ananletea jukumu jingne ukiachana nalakubetWewe BUMBAVU, si umeambiwa leta hiyo screenshot ya huo mkeka urudishiwe hela yako. Nyau wewe ukome kudanganya danganya humu kuna wakubwa zako.Shubamiiit.
Hahahahaa